Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Awe na Hela wapi watu wasiosoma alafu ajue kuongea kiingereza mbona utakoma wasomi hawanaga hizo 😀😀😀
Wanaume wasomi hawana mbwembwe na siku wakiongea unajichekea tu moyoni ila Hawa Wala makande wenzetu Hawa😀😀
duh, pole na hongera....

kwahiyo huu ukame wa miezi 4 unaenda nao tena mpaka mwakani kusubiri mchumba😬

hatari.....
 
😂😂Mshenz Kweli Wew
Nimepiga kwenye mshono😂🤣🤣
FB_IMG_16861716305204032.jpg
 
duh, pole na hongera....

kwahiyo huu ukame wa miezi 4 unaenda nao tena mpaka mwakani kusubiri mchumba😬

hatari.....
Kwakweli sidhani sitaki unafki last year niligombana na mpenzwangu nilifikisha miez 8 nilikuwa kwenye depression Kali lakin niliteseka mno mwaka huu nafikir sita sitoboi na nikitoboa nipo mahututi 😀😀😀
 
Back
Top Bottom