Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tulikuwa tunatishiwa kuna Chunusi. NGUNGANI. Mara kuna Mtoto wa Mzee Mdoka kapotezwa na CHUNUSI. Yaani Myth zilikuwa nyingi mnooo
hatariii tupuuu.
Umekumbukaa, kipindi cha machuna ngozi.
Ila mama chaulembo, kaua sana watu kuchukua sehemu za siri.
Lol
 
hatariii tupuuu.
Umekumbukaa, kipindi cha machuna ngozi.
Ila mama chaulembo, kaua sana watu kuchukua sehemu za siri.
Lol
Nakumbuka Mi mwenye we nilinusurika kuchunwa sababu kuna Mama mtoto wa Mzee Abdullah Ali yule alikuwa Kipofu alituonya kuna watu wanakipa hela halafu wanakwambia nipeleke sehemu fulani msikubali watoto. Yule Mama Chaulembo namkumbuka sana alikuwa anaishi Msamala
 
Nakumbuka Mi mwenye we nilinusurika kuchunwa sababu kuna Mama mtoto wa Mzee Abdullah Ali yule alikuwa Kipofu alituonya kuna watu wanakipa hela halafu wanakwambia nipeleke sehemu fulani msikubali watoto. Yule Mama namkumbuka sana alikuwa anaishi Msamala
tunaishi nae mtaa m1, msamala miembeni.
Sahivi kaokokaa, yule aliungana na Ottawa ndo ikawa kazi yao hiyo.

Ottawa alifurushwa kakimbilia Makambakoo.
 
tunaishi nae mtaa m1, msamala miembeni.
Sahivi kaokokaa, yule aliungana na Ottawa ndo ikawa kazi yao hiyo.

Ottawa alifurushwa kakimbilia Makambakoo.
Umejilipua kumtaja kabisaaa yule Mzee mara ya kwanza alikuwa ana kaa kule Chini maeneo ya Buhemba. Mimi Nime school pale Misufini 😂😂😂.
Ottawa na Kisumapai 😂😂😂😂
 
Umejilipua kumtaja kabisaaa yule Mzee mara ya kwanza alikuwa ana kaa kule Chini maeneo ya Buhemba. Mimi Nime school pale Misufini .
Ottawa na Kisumapai
Kisumapai bado yukooo vizuri

Ottawa alifurushwaa kuna nyumba yake msamala karibu na stand ya zaman, ile inasifika kwa matukio ya ajabu,

Sasa wazungu ndo walipanga mule, bhanaa wee wakichezea kichapooo na kulazimishwa waongee kiswahili

Misukule ya ottawa mchezoo, wazungu wakashitaki ndo akafurushwaa.

 
Hapa utapata shem mimi- ambaye ni team davido.
Your lover mshamba_hachekwi Ni team burna boy

Mmechelewa nampenda huyu jamaa Countrywide kinoma noma, sitaki kusikia chochote na hizo mambo zake ilikuwa kipindi hiko sikuwepo, lakini ss hivi nipo!! Tena nipo sana!

Labda km una habari mpya nipe lakini za zamani kaa nazo!

Cha kunisaidia wewe niombee huyu chugastan boy aendelee kunipenda, maana nitakufa nikimkosa
 
Kisumapai bado yukooo vizuri

Ottawa alifurushwaa kuna nyumba yake msamala karibu na stand ya zaman, ile inasifika kwa matukio ya ajabu,

Sasa wazungu ndo walipanga mule, bhanaa wee wakichezea kichapooo na kulazimishwa waongee kiswahili

Misukule ya ottawa mchezoo, wazungu wakashitaki ndo akafurushwaa.

Mamaeee😂🤣🤣😂
 
Mmechelewa nampenda huyu jamaa Countrywide kinoma noma, sitaki kusikia chochote na hizo mambo zake ilikuwa kipindi hiko sikuwepo, lakini ss hivi nipo!! Tena nipo sana!

Labda km una habari mpya nipe lakini za zamani kaa nazo!

Cha kunisaidia wewe niombee huyu chugastan boy aendelee kunipenda, maana nitakufa nikimkosa
And we were just joking 🤣😂😂, right mshamba_hachekwi coz we are single to death😍
 
Mmechelewa nampenda huyu jamaa Countrywide kinoma noma, sitaki kusikia chochote na hizo mambo zake ilikuwa kipindi hiko sikuwepo, lakini ss hivi nipo!! Tena nipo sana!

Labda km una habari mpya nipe lakini za zamani kaa nazo!

Cha kunisaidia wewe niombee huyu chugastan boy aendelee kunipenda, maana nitakufa nikimkosa
 
Back
Top Bottom