mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,937
Nipo mama sema mi mshamba wa mapenzi nakosa gia ya kukuingilia😅Hauko serious
Nipo mama sema mi mshamba wa mapenzi nakosa gia ya kukuingilia😅Hauko serious
Sorry bro, we are just taking what belong to us 😂🤣Sasa hata cute wife alishabadili jina. Sema sasa hivi nimekua mpole, usinirudishe kwenye vita
Tulikuwa tunatishiwa kuna Chunusi. NGUNGANI. Mara kuna Mtoto wa Mzee Mdoka kapotezwa na CHUNUSI. Yaani Myth zilikuwa nyingi mnooo![]()



hatariii tupuuu.Cute Wife Soma hiii😍😍😍Nipo mama sema mi mshamba wa mapenzi nakosa gia ya kukuingilia😅
Nakumbuka Mi mwenye we nilinusurika kuchunwa sababu kuna Mama mtoto wa Mzee Abdullah Ali yule alikuwa Kipofu alituonya kuna watu wanakipa hela halafu wanakwambia nipeleke sehemu fulani msikubali watoto. Yule Mama Chaulembo namkumbuka sana alikuwa anaishi Msamalahatariii tupuuu.
Umekumbukaa, kipindi cha machuna ngozi.
Ila mama chaulembo, kaua sana watu kuchukua sehemu za siri.
Lol
Nakumbuka Mi mwenye we nilinusurika kuchunwa sababu kuna Mama mtoto wa Mzee Abdullah Ali yule alikuwa Kipofu alituonya kuna watu wanakipa hela halafu wanakwambia nipeleke sehemu fulani msikubali watoto. Yule Mama namkumbuka sana alikuwa anaishi Msamala




tunaishi nae mtaa m1, msamala miembeni.
Umejilipua kumtaja kabisaaa yule Mzee mara ya kwanza alikuwa ana kaa kule Chini maeneo ya Buhemba. Mimi Nime school pale Misufini 😂😂😂.tunaishi nae mtaa m1, msamala miembeni.
Sahivi kaokokaa, yule aliungana na Ottawa ndo ikawa kazi yao hiyo.
Ottawa alifurushwa kakimbilia Makambakoo.
Kisumapai bado yukooo vizuriUmejilipua kumtaja kabisaaa yule Mzee mara ya kwanza alikuwa ana kaa kule Chini maeneo ya Buhemba. Mimi Nime school pale Misufini.
Ottawa na Kisumapai![]()














Mamaeee😂🤣🤣😂Kisumapai bado yukooo vizuri
Ottawa alifurushwaa kuna nyumba yake msamala karibu na stand ya zaman, ile inasifika kwa matukio ya ajabu,
Sasa wazungu ndo walipanga mule, bhanaa wee wakichezea kichapooo na kulazimishwa waongee kiswahili
Misukule ya ottawa mchezoo, wazungu wakashitaki ndo akafurushwaa.
![]()
And we were just joking 🤣😂😂, right mshamba_hachekwi coz we are single to death😍Mmechelewa nampenda huyu jamaa Countrywide kinoma noma, sitaki kusikia chochote na hizo mambo zake ilikuwa kipindi hiko sikuwepo, lakini ss hivi nipo!! Tena nipo sana!
Labda km una habari mpya nipe lakini za zamani kaa nazo!
Cha kunisaidia wewe niombee huyu chugastan boy aendelee kunipenda, maana nitakufa nikimkosa![]()
Mmechelewa nampenda huyu jamaa Countrywide kinoma noma, sitaki kusikia chochote na hizo mambo zake ilikuwa kipindi hiko sikuwepo, lakini ss hivi nipo!! Tena nipo sana!
Labda km una habari mpya nipe lakini za zamani kaa nazo!
Cha kunisaidia wewe niombee huyu chugastan boy aendelee kunipenda, maana nitakufa nikimkosa![]()





kwahiyo mlitaka kumrusha roho baby wangu? Wajinga nyieMadam sisi tupo kufurahisha genge tu😂🤣, coz we are just focusing on our way to the billionaire empire💪💪kwahiyo mlitaka kumrusha roho baby wangu? Wajinga nyie
Madam sisi tupo kufurahisha genge tu, coz we are just focusing on our way to the billionaire empire
![]()


najua wala usijali