Mkuu una taka kaburi lako liwekwe wapi🤔, Don't mess with ma girl AaliyyahMkuu Mimi usipo kuwepo nakuchungia Mali yako.
Kila kitu kipo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una taka kaburi lako liwekwe wapi, Don't mess with ma girl Aaliyyah




Wasalaam😂😂😂😂 namshtua mshamba_hachekwi
acha basi😂
Weee hongeraaa yakoo dear mie bado nimedoda tyuuuuu sijui ndio uzee wenyewe huuu😁😁😊😊!!Ndugu naona mafusho yameanza kufanya kazi gundu bye bye😂😂😂😂
na kweli nimeshtuka😂Wasalaam😂😂😂😂 namshtua mshamba_hachekwi
Kaka sumbai naona ume Anza tabia ya unafiki Kama mshamba_hachekwi 🤔
Mimi huja nimisi ex baby😂🤣 DahanWasalaam😂😂😂😂 namshtua mshamba_hachekwi
Ina Uma😂🤣Endelea kuchimba chumvi 😂😂😂
Hii Vita ni Kali saana. Sitaki kabisa kuwa MTU Kati.Kaka sumbai naona ume Anza tabia ya unafiki Kama mshamba_hachekwi
juzi SI ume nisifia, kuwa Nina macho mazuri ya kuchagua. Now una Anza kuwa dalali ehh
![]()
Weee hongeraaa yakoo dear mie bado nimedoda tyuuuuu sijui ndio uzee wenyewe huuu!!
Akitokea wa akiba Usinisahau dadako hapaaa!!![]()




Njoo nikupulize😂😂Ina Uma😂🤣
Kweli kabesaa! 😊😁
Haya nitetee kwa Baby Aaliyyah 😂🤣🤣Njoo nikupulize😂😂
Nawaomba wadondoke na kuzimia kila wakimuwaza AaliyyahHii Vita ni Kali saana. Sitaki kabisa kuwa MTU Kati.
Ni kweli umejua kuchagua. Chaguo lililo sahihi Ila kumbuka na wengine wanaona pia.
Nyinyi pambaneni atakae shinda ntamsapoti.
Kapachino njoo hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app