Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
You can't be serious kuwa upo 19 , hapaana .mchuchu wa wapi aisee....
mwaka unaingia boarding mi ndo naingia duniani😂
You can't be serious kuwa upo 19 , hapaana .mchuchu wa wapi aisee....
mwaka unaingia boarding mi ndo naingia duniani😂
Vijana utawaweza ? Wanataka mambo makubwa halafu wakija kuwa matured ndio wanaanza mambo ua utoto 😂😂😂Lol labda
Anaonekana matured enough lakini .
Mtandaoni Kuna joto sanaaa 😂😂😂Sawa sawa,naona humu , mko na totoz tuu
Ni below 25 huyo 🤣🤣🤣You can't be serious kuwa upo 19 , hapaana .
tembea uone rafki yanguYou can't be serious kuwa upo 19 , hapaana .
Mmh mbn mie naona baridi hasa humu, naona maruwe ruweMtandaoni Kuna joto sanaaa 😂😂😂
Hahaa aiseeVijana utawaweza ? Wanataka mambo makubwa halafu wakija kuwa matured ndio wanaanza mambo ua utoto 😂😂😂
Halafu ndio wazee wa mwaka 2060 eti ? Dunia inaishia hivyo 🤣🤣🤣Hahaa aisee
Siwawezi vijana mie, kazi yao kuangalia sketi tu .
No wayNi below 25 huyo 🤣🤣🤣
bachela unamcheka bachela mwenzako....Ni below 25 huyo 🤣🤣🤣
Baadae huko ni vituko vitupuHalafu ndio wazee wa mwaka 2060 eti ? Dunia inaishia hivyo 🤣🤣🤣
You look old enough to metembea uone rafki yangu
Utapazoea tu humuMmh mbn mie naona baridi hasa humu, naona maruwe ruwe
Nimemalizia kula mangatungu hapa nashushia na maji![]()



mie nimemaliza kula chikandi, uwiiiihkichwa kimevimba😂You look old enough to me
Na pia umetulia .
Huu uzi kwangu ni mpyaUtapazoea tu humu
Lakini wewe ni mgeni mwenyeji humu .
Simuoni hata aje ndotoni nimzoom
Haya mambo ni kuyaacha tu .


toka nje swampaaa, mbna watapatikana.Kwani wee nimekununia, usinisemeshee na huo uongo wakoUweke bila ua tafadhali



Mwee
Ushamba mzigo
Mm ninazo ambazo hazipo juu ya goti wala hazifiki mguuni
Huwa navaa nyumbani,najiangalia wee naona nimependeza
Ila tege sasa
Nilivaa kamoja last weekend nilikuwa na appointment na mzungu mmoja,,angalau nilipendezapo..ila nivyotoka nikafunga mtandio.




mie napenda sana magoti yawe nje mda wote