Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
You're right , naisemea ile ya kukaa niwaze na kulia duh hapana .Hapana bhana ume experience lakini bado haujawa Strong bado Huwa unavunjika moyo sometimes 🤣🤣🤣
You're right , naisemea ile ya kukaa niwaze na kulia duh hapana .Hapana bhana ume experience lakini bado haujawa Strong bado Huwa unavunjika moyo sometimes 🤣🤣🤣
Hauna movie hata usogezee masaa mbele .namimi nipo nipo tu naangalia ceiling board
au sio relationship expert😂Hapana bhana ume experience lakini bado haujawa Strong bado Huwa unavunjika moyo sometimes 🤣🤣🤣
Ofcouse naweza nikahisi jinsi vile unajisikia. 😂You're right , naisemea ile ya kukaa niwaze na kulia duh hapana .
sina hata mood nazo...Hauna movie hata usogezee masaa mbele .
Mwanasaikolojia Mbobevu. 🤣🤣🤣au sio relationship expert😂
Huyu Bibie yupo bored 😴 sana yaani though Kuna mambo fulani yenye kuvunja moyo ameyapitia Sasa bado haja gain momentum kabisa. 😂😂😂sina hata mood nazo...
ila sio mbaya wanasema kuboeka mara mojamoja inasaidia unazoea ugumu wa maisha
hii si science fiction kabisa mzee wangu😂Telepathy
Nishazoea actuallyOfcouse naweza nikahisi jinsi vile unajisikia. 😂
hii si science fiction kabisa mzee wangu😂
It applies kwenye mambo nyingi sana ikiwemo hisia zetu sie binadamuhii si science fiction kabisa mzee wangu😂
Weka nyimbo usikilize hapo uburudike kidogo ,sina hata mood nazo...
ila sio mbaya wanasema kuboeka mara mojamoja inasaidia unazoea ugumu wa maisha
Ofcouse umeshazoea but how do you overcome that condition?Nishazoea actually
😂😂😂
Its a normal thing .
kwahiyo unataka kuniambia unaweza kusoma akili za watuIt applies kwenye mambo nyingi sana ikiwemo hisia zetu sie binadamu
Kidogo naweza aisee hasa Mabinti 😂😂😂kwahiyo unataka kuniambia unaweza kusoma akili za watu
Hapa nachangamsha genge uwii 😂😂😂 .Ofcouse umeshazoea but how do you overcome that condition?
Mwee😅😅😅😅😅😅😅
Yuko sahihi kabisa, ambazo ni medium binafsi huwa zinanikosesha raha kimtindo maana nakua sijielewi elewi.
Vaa hata nyumbani uzoee basi!!!!!!
kwahiyo unataka kusema wewe ni fataki, si ndio??Kidogo naweza aisee hasa Mabinti 😂😂😂
wewe ndo unatumiaga mziki kupitisha muda??Weka nyimbo usikilize hapo uburudike kidogo ,
Kama kumepoa sio poa .
Siendeshwi na tamaa za mwili Kijana. 😂😂😂kwahiyo unataka kusema wewe ni fataki, si ndio??