mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,275
- 71,946
mjuba👊🏾 hunaga nomaUnadhani ana kovu usoni kwamba utanote ndiye??
Tulieni hapo
Mliwe na mle
Heheeeee
mjuba👊🏾 hunaga nomaUnadhani ana kovu usoni kwamba utanote ndiye??
Tulieni hapo
Mliwe na mle
Heheeeee
Sijui umenielewaaaa 😬😬😬😬
sasa si unaona..... wakuomba naniliu aombe, wakuomba hela aombe.... tuishi😂Hudumieni tu nyie mpate tunda msilalalamike 😂😂😂
Totoo, you are missedmjuba👊🏾 hunaga noma
nashkuru mungu romance za kikorea zimenipita ningeteseka sanaTafuta hela tu mdogo wangu halafu ukitoa usitarajie malipo toa kwa roho safi tu 😂😂😂
ila hizi friendzone aisee😅Totoo, you are missed
Sasa kama unataka naniliu uwe tayari kutoboka. Ili naniliu iendelee kutunzwa siku nyingine uitamani tena na tena 😂😂😂sasa si unaona..... wakuomba naniliu aombe, wakuomba hela aombe.... tuishi😂
Msiombe mapema aiseesasa si unaona..... wakuomba naniliu aombe, wakuomba hela aombe.... tuishi😂
Asilimia 90 ya matukio unayoyaona kwenye tamthilia ni ubatili. Usije ukapoteza muda wako kuangalia huo uchafunashkuru mungu romance za kikorea zimenipita ningeteseka sana
kabisa.... yale mapenzi ya kule wameongeza sana chumviAsilimia 90 ya matukio unayoyaona kwenye tamthilia ni ubatili. Usije ukapoteza muda wako kuangalia huo uchafu
zinatengenezwa 1500/sec. nyingine lazima zipande kichwani😅mna vi maneno fulani vya ajabu sana
Hahahaa hata mtu awe bandidu vipi anasurrender 😂😂zinatengenezwa 1500/sec. nyingine lazima zipande kichwani😅
halafu kukataliwa ni kukubwa ndio maana tunakua desperate.... tunacheza a numbers game....Hahahaa hata mtu awe bandidu vipi anasurrender 😂😂
Usiwe na papara Kijana 😂😂halafu kukataliwa ni kukubwa ndio maana tunakua desperate.... tunacheza a numbers game....
unatuma maombi kwa 20, 1 ndo anakupa tenda
usijifanye huelewi mapito tunayopitiaUsiwe na papara Kijana 😂😂
Ujana ni utapeli lakini 😂😂😂usijifanye huelewi mapito tunayopitia
we mwenyewe bachela inaonekana unazungushwa tu😂Ujana ni utapeli lakini 😂😂😂
Duh aisee poleni sanahalafu kukataliwa ni kukubwa ndio maana tunakua desperate.... tunacheza a numbers game....
unatuma maombi kwa 20, 1 ndo anakupa tenda