cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Baadae ntakuwekeaaa mwenyejii
Jana nimeingia nikakuta sifa kibao bila picha!!!!Nifurahishe na mimi kidogo basi....





Ndo hivyo mnatutesa wanaume na vinjunga au zile taiti na vile wengi hawavai na chupi ndani hatari tupu ile mitetemo




mie napenda sana vinjungaaa.
Nielewe nini Bestie yaani humu ni lugha gongana tu hakuna hata Selfie 🤳 😂😂😂Wee unaelewa?![]()
Wanaume washanishinda 😂😂😂
Watu wako weekend leo wanaserebukaa, wee unakwama wapiii??Nielewe nini Bestie yaani humu ni lugha gongana tu hakuna hata Selfie![]()
![]()
Wee usiseme hivyoo dear, subiri baba tamu wako soon atakujiaWanaume washanishinda
Ya nini nihangaike mie .




Nimemalizia kula mangatungu hapa nashushia na maji 😂😂😂Watu wako weekend leo wanaserebukaa, wee unakwama wapiii??
Simuoni hata aje ndotoni nimzoom 😂😂😂Wee usiseme hivyoo dear, subiri baba tamu wako soon atakujia
![]()
Tinsley niaje...Kabisa aisee huku usnitch mwingi sana .
Kidogo tu maneno , mara kununa bila sababu ya msingi .
Anakata tamaa mapema sana huyu Bibie 😂😂😂😂😂Wee usiseme hivyoo dear, subiri baba tamu wako soon atakujia
![]()
Usiyaache because utaishia kwenye kupata depression tu. Wakati wako uko njiani 🤣🤣🤣Simuoni hata aje ndotoni nimzoom 😂😂😂
Haya mambo ni kuyaacha tu .
Depression siwezi pata hahahahaUsiyaache because utaishia kwenye kupata depression tu. Wakati wako uko njiani 🤣🤣🤣
Kuna bata hatagood....
bata la weekend linasemaje
Hapana bhana ume experience lakini bado haujawa Strong bado Huwa unavunjika moyo sometimes 🤣🤣🤣Depression siwezi pata hahahaha
Nishaexperience before na nimeweza .
Thank you .
Uweke bila ua tafadhaliBaadae ntakuwekeaaa mwenyejii![]()
namimi nipo nipo tu naangalia ceiling boardKuna bata hata
Nipo zangu tu nimechill
Vipi wewe ?