Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,151
- 43,100
Hisia zangu zimeangukiia kwa Pisi ya humu humu 😂😂😂we mwenyewe bachela inaonekana unazungushwa tu😂
Ndio nafanya upembuzi yakinifu Sasa hivi
Hisia zangu zimeangukiia kwa Pisi ya humu humu 😂😂😂we mwenyewe bachela inaonekana unazungushwa tu😂
Kila jambo huja kwa wakati mwafaka aisee huyo unayempa pole yeye mwenyewe hajiwezi , Kumiliki ubavu ataweza ?Ndio maana asubiri wakati muafaka tu 😂😂😂Duh aisee poleni sana
Mnapitia changamoto
Wapi huko nije kutega abiriaWatu wako weekend leo wanaserebukaa, wee unakwama wapiii??
Hahaa mnajuana nyieKila jambo huja kwa wakati mwafaka aisee huyo unayempa pole yeye mwenyewe hajiwezi , Kumiliki ubavu ataweza ?Ndio maana asubiri wakati muafaka tu 😂😂😂
Kuwa juu ya ....Hahaa mnajuana nyie
Hapo alipo anaweza vuta ubavu ujue , nyie mmeumbwa kuwa juu yetu
Mungu yupo na anajibu kwa wakati Zaidi ya haraka. Kikubwa asije akajichanganya tu. Maana huyu bado ni scholar 😂😂😂Hahaa mnajuana nyie
Hapo alipo anaweza vuta ubavu ujue , nyie mmeumbwa kuwa juu yetu
ungejua umri wangu usingesema hivi😂Hapo alipo anaweza vuta ubavu ujue
Heheee usiniambie kwa hiyo mchuchu wako asiwaze mambo hayo kabisa .ungejua umri wangu usingesema hivi😂
Bora umenyoosha mikono juu mwendo wa mateka 😂😂😂ungejua umri wangu usingesema hivi😂
Ungenifundisha tu hiyo genes inasema nnRefer Genesis
Adhabu ya tunda 😂😂
Kwa Eva .
Below 25 tu huyo. 😂😂😂Heheee usiniambie kwa hiyo mchuchu wako asiwaze mambo hayo kabisa .
Anyway humu ni mtandaoni so huwezi jua umri wa mtu
Katafute Abiria tu Mkuu 😂😂😂Ungenifundisha tu hiyo genes inasema nn
Hakika umenena vyemaMungu yupo na anajibu kwa wakati Zaidi ya haraka. Kikubwa asije akajichanganya tu. Maana huyu bado ni scholar 😂😂😂
Ndio nimewasha data,niokote okote wa week endKatafute Abiria tu Mkuu 😂😂😂
Niajeee mazeeila hizi friendzone aisee😅
mchuchu wa wapi aisee....mchuchu wako
Hilo ndio la msingi Mkuu 😂😂Ndio nimewasha data,niokote okote wa week end
Lol labdaBelow 25 tu huyo. 😂😂😂
Sawa sawa,naona humu , mko na totoz tuuHilo ndio la msingi Mkuu 😂😂