Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Eendiwoooooooo dear ukinywa inaenda chiniiii😊😊😊😁Khe jamani
Eendiwoooooooo dear ukinywa inaenda chiniiii😊😊😊😁Khe jamani
Ndiyo,wengine ni marafik vigeu geunimechekaa had machozii, cazee ko wee rafiki ako ni Mungu?? Woiiiii
Kuna Aina za wine zina alcohol na nyingine ni non alcoholic ambazo ni halali....Al halali...
Bas dear sinywiEendiwoooooooo dear ukinywa inaenda chiniiii😊😊😊😁
PouwaNtakuagiza unitumie
Napenda mawese
Niliambiwa red wine nafikir wajuz wamesema ukinywa nying unalewa nitaendelea kunywa juis ya embeKuna Aina za wine zina alcohol na nyingine ni non alcoholic ambazo ni halali....Al halali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini? TKumbe G yupo hivyo
Aiseeee cocastic baki uchunge mali yako huku .
😀😀😀Nimevuta picha yakikuzid na umelewa unapiga kelele au unafanyaje🤣🤣🤣🤣
Zikizidi unalala. If your not used to them unajifunzia kunywa nyumbani.Nimevuta picha yakikuzid na umelewa unapiga kelele au unafanyaje
![]()
Hahaha ni kweli. Ila vile vile most ya non alcoholic wine zina taste tofauti na alcoholic.Niliambiwa red wine nafikir wajuz wamesema ukinywa nying unalewa nitaendelea kunywa juis ya embe



Kazi kweli kweli 😀😀Zikizidi unalala. If your not used to them unajifunzia kunywa nyumbani.
Zikipanda either kichwani au Kama wanavyosema eti zinashuka chini unajilalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina enda wapi??? Dah....Eendiwoooooooo dear ukinywa inaenda chiniiii![]()
Kazi unayo. Wewe kunywa tuu Ceres na hizo nyingine za embe jiandae kupata kisukari uzeeniKazi kweli kweli![]()
😂😂😂UnanitishaKazi unayo. Wewe kunywa tuu Ceres na hizo nyingine za embe jiandae kupata kisukari uzeeni
Sent using Jamii Forums mobile app
SASA genyee si ndio zenyeweeeeee.Inaleta nyegee balaaa!!!![]()
Bila uwepo wako shougaaangu selfika haijakamilikaaa mbonaaaaaaaaa!
Na hekaheka zako Unachangamsha sana humuuu!!




upooo nyonyoooooo.???Wanasema zinaenda Kunakooooo😊😊!
Nipo kodoo kipenziii nararajeee sijapata blessings zako ndio unifanyie wepesi shougaaanguuu!upooo nyonyoooooo.???