Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niliambiwa red wine nafikir wajuz wamesema ukinywa nying unalewa nitaendelea kunywa juis ya embe
Hahaha ni kweli. Ila vile vile most ya non alcoholic wine zina taste tofauti na alcoholic.

Non alcoholic wine ni Kama juice ya zabibu iliuochangamka.

Hata Kama wakijitahid kuongeza flavours but still haiwi Kama alcoholic wine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom