Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uwii usiseme hivyo [emoji23][emoji23]
Yapo ya kweli lakini ..
Kwani shs ngapi kuvumilia ?
Mie kiukweli G nampenda mnoo,
Na niko tayari kumvumiliaa, je yeye atakua na imani kwagu?

Ila yeye kaniaminishaa, kuwa ana mipango thabiti na mie.
[emoji23][emoji23][emoji23] cjui ndo utoto au ananidanganyaa.
 
Mie kiukweli G nampenda mnoo,
Na niko tayari kumvumiliaa, je yeye atakua na imani kwagu?

Ila yeye kaniaminishaa, kuwa ana mipango thabiti na mie.
[emoji23][emoji23][emoji23] cjui ndo utoto au ananidanganyaa.
Kikubwa mwamini aisee
Kama mwapendana basi itawezekana tu .

Mpo bongo hii inashindikana nn nyie kuonana baaada ya miezi kadhaa .

Kutumiana zawadi za hapa na pale .
Kufanya vitu kwa pamoja ili mdumishe upendo kati yenu .
 
Kikubwa mwamini aisee
Kama mwapendana basi itawezekana tu .

Mpo bongo hii inashindikana nn nyie kuonana baaada ya miezi kadhaa .

Kutumiana zawadi za hapa na pale .
Kufanya vitu kwa pamoja ili mdumishe upendo kati yenu .
Ila kweli dear, hakuna kinacho shindikana.
 
Ex nenda salama [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa na unashukuru mlivyoachana wapi ungejisikia furaha hivyo
G ananipa furaha mnoo, kwan mwanzo hata sikutegemea.
Ila penzi limekua [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom