Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Antonnia

Shogaree ako ndani ya simple pouzzz, na mikato Fulani ya kushtua.

Nawee uwe unapiga swaggzzz km hivi, unyama mwingiii.
View attachment 2660013
Umenougaaaa baraaaaaa 😍😍😍😍 Umependezaajee udugu akeeeee ...

Mie sinaa miparoooo udugu akeeeee zahuku nyakibooo sasa😊

Pouzzz kareeeee kishenzzzz

Nouggaaa sannnaaaa🤩🤩🤩💋😘!!

Wabheja sana kipenzi hakika usiku Wangu unaenda kuwa furrreeeeesssshhhhhh😴😴😴😴😴 kabesaaa!!
 
Long distance ngumu
Kamaa vipi abaki hapa mjini tu .
Kulinda penzi .

Sikutaka mahusiano chuo kisa hichi , mkimaliza kila mtu kwao .
Kweli kabisaa dear, mahusiano ya chuo ni shida, mkimaliza kila mtu kwao, labda kuwe na mipango endelevu, lakini pia uaminifuu mmmh

Hatarii tupuu
 
Kweli kabisaa dear, mahusiano ya chuo ni shida, mkimaliza kila mtu kwao, labda kuwe na mipango endelevu, lakini pia uaminifuu mmmh

Hatarii tupuu
Yes dear
Inahitaji uvumilivu wa haja sema hakuna kigumu chini ya jua .

Na pia mwanaume hapo ndo anajipanga ili muweze kuwa pamojw .
 
Umenougaaaa baraaaaaa Umependezaajee udugu akeeeee ...

Mie sinaa miparoooo udugu akeeeee zahuku nyakibooo sasa

Pouzzz kareeeee kishenzzzz

Nouggaaa sannnaaaa!!

Wabheja sana kipenzi hakika usiku Wangu unaenda kuwa furrreeeeesssshhhhhh kabesaaa!!
ufanye ukuje huku town, nikupee mikatoo ya ukweliiiii

Mambo ni
 
Uwii usiseme hivyo
Yapo ya kweli lakini ..
Kwani shs ngapi kuvumilia ?
Mie kiukweli G nampenda mnoo,
Na niko tayari kumvumiliaa, je yeye atakua na imani kwagu?

Ila yeye kaniaminishaa, kuwa ana mipango thabiti na mie.
cjui ndo utoto au ananidanganyaa.
 
Mie kiukweli G nampenda mnoo,
Na niko tayari kumvumiliaa, je yeye atakua na imani kwagu?

Ila yeye kaniaminishaa, kuwa ana mipango thabiti na mie.
cjui ndo utoto au ananidanganyaa.
Kikubwa mwamini aisee
Kama mwapendana basi itawezekana tu .

Mpo bongo hii inashindikana nn nyie kuonana baaada ya miezi kadhaa .

Kutumiana zawadi za hapa na pale .
Kufanya vitu kwa pamoja ili mdumishe upendo kati yenu .
 
Kikubwa mwamini aisee
Kama mwapendana basi itawezekana tu .

Mpo bongo hii inashindikana nn nyie kuonana baaada ya miezi kadhaa .

Kutumiana zawadi za hapa na pale .
Kufanya vitu kwa pamoja ili mdumishe upendo kati yenu .
Ila kweli dear, hakuna kinacho shindikana.
 
Back
Top Bottom