Ungekuwa kalbu ningekupa zawad kwa kicheko
Long distance ngumu
Umenougaaaa baraaaaaa 😍😍😍😍 Umependezaajee udugu akeeeee ...Antonnia
Shogaree ako ndani ya simple pouzzz, na mikato Fulani ya kushtua.
Nawee uwe unapiga swaggzzz km hivi, unyama mwingiii.
View attachment 2660013
Weh kumbeAnakudanganyaaa huyo, G ni dark akin, tall, slim n hadsome, afu Gentleman.
![]()
Kweli kabisaa dear, mahusiano ya chuo ni shida, mkimaliza kila mtu kwao, labda kuwe na mipango endelevu, lakini pia uaminifuu mmmhLong distance ngumu
Kamaa vipi abaki hapa mjini tu .
Kulinda penzi .
Sikutaka mahusiano chuo kisa hichi , mkimaliza kila mtu kwao .
Yes dearKweli kabisaa dear, mahusiano ya chuo ni shida, mkimaliza kila mtu kwao, labda kuwe na mipango endelevu, lakini pia uaminifuu mmmh
Hatarii tupuu
Umenougaaaa baraaaaaaUmependezaajee udugu akeeeee ...
Mie sinaa miparoooo udugu akeeeee zahuku nyakibooo sasa
Pouzzz kareeeee kishenzzzz
Nouggaaa sannnaaaa!!
Wabheja sana kipenzi hakika usiku Wangu unaenda kuwa furrreeeeesssshhhhhh kabesaaa!!




ufanye ukuje huku town, nikupee mikatoo ya ukweliiiii 




Namuona aisee ni tall
Mmmmmh mapenzi ya mbali yanakua uongo sometimes,Yes dear
Inahitaji uvumilivu wa haja sema hakuna kigumu chini ya jua .
Na pia mwanaume hapo ndo anajipanga ili muweze kuwa pamojw .




Ndyooooh na akili kubwa piaNamuona aisee ni tall
Halafu athletic body ile
Msafi pia ..
Handsome G




Uwii usiseme hivyo 😂😂Mmmmmh mapenzi ya mbali yanakua uongo sometimes,![]()
Chama lipi mkuu?🤔Umesaliti chama aisee??
G kama GNdyooooh na akili kubwa pia
![]()
Mie kiukweli G nampenda mnoo,Uwii usiseme hivyo
Yapo ya kweli lakini ..
Kwani shs ngapi kuvumilia ?


cjui ndo utoto au ananidanganyaa.Kabisaaa kwaanza hata hukumbukio hao Ma ex.G kama G
Kapewa vyote na Allah
Love is surely crazy , unaweza penda hadi ukajuta muda ulipoteza na ma ex wale .





Kikubwa mwamini aiseeMie kiukweli G nampenda mnoo,
Na niko tayari kumvumiliaa, je yeye atakua na imani kwagu?
Ila yeye kaniaminishaa, kuwa ana mipango thabiti na mie.
cjui ndo utoto au ananidanganyaa.
Ex nenda salama 😂😂😂Kabisaaa kwaanza hata hukumbukio hao Ma ex.
![]()
Ila kweli dear, hakuna kinacho shindikana.Kikubwa mwamini aisee
Kama mwapendana basi itawezekana tu .
Mpo bongo hii inashindikana nn nyie kuonana baaada ya miezi kadhaa .
Kutumiana zawadi za hapa na pale .
Kufanya vitu kwa pamoja ili mdumishe upendo kati yenu .
Chama lipi mkuu?🤔