sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Habari yako Tinsley.Habari kaka
Huku dar kijijini kwema.
Tafadhali msalimie St Anne
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari yako Tinsley.Habari kaka
Hello Sumbai
Boda aisee balaa😂
Umenikumbusha dereva mmoja juzi
Tukabaki kushika vichwa
Ameovertake magari mengi,,halafu mbele yake kuna magari yanakuja,,akaingia tena
Heri alikuwa pekeyake.
Madereva boda Mungu awasaidie aisee maana ukishashika boda tu akili inakuwa si kujipachika kulekule kwenye magari aliyoyaovertake na nafasi hakuna,
sasa Ile ingia yake😂🙌
Kaka anavaa 42 🤣Kiatu cha Kaka 😂😂😂
Hivi hicho kiatu kizuri kinauzwa au?? Kuna mteja hapa anaulizia bei ya kiatu na huo mguuHello Sumbai
Wasiwasi ndio akiliBoda aisee balaa
Napanda hadi itokee ulazima .
Siku nimepanda mshikaki tunaenda tu karibu nikamwambia naomba usipite kati aisee .
Barabara yenyewe ndogo halafu apite kati ya magari .
Nzuri tu hukuHabari yako Tinsley.
Huku dar kijijini kwema.
Tafadhali msalimie St Anne
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Huko ni kijijini. Ni bikini vilivyopo mjini.Nzuri tu huku
Hamna kijiji huku hata Chanika siku hizi ni mjini kweli .
Saint Anne unasalimiwa huku .
Hakika
Hahhaa na Chamanzi jeHapana. Huko ni kijijini. Ni bikini vilivyopo mjini.
Huko chanika nyumba ya kupanga ya laki unapata nyumba nzima na parking
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika
Safety first ..
Sehemu kama kariakoo naenda sipajui natembea hadi nipaone
yani kule watu ndo wanaendesha rough sana mara kaingia barabara ya mwendokasi .


yes. Ila kariakoo hamna Bora wale wanavaa vindala nakukaa upande huku wameninginiza mguu mmojaYaani sipandi boda boda hukoyes. Ila kariakoo hamna Bora wale wanavaa vindala nakukaa upande huku wameninginiza mguu mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes.Hahhaa na Chamanzi je
Kuna vyumba unasema jamani duh
Wakati naanza kupanga nilitamani kukaa Mbagala aisee
Life la kule wanasema ni rahisi tofauti na kwingine huku
Yes. Ila ukiwa na dharura au haraka Boda utapanda tuuuYaani sipandi boda boda huko
Mwendo mfupi buku tatu .
Na wapo rough sana , wanawaza kuwahi vichwa tu .
Huko raha aiseeeYes.
Chamazi mbagala wanalife rahisi sanaa.
Asubuhi mihogo yakukaanga mchana ugali dagaaa na pilipili. Yani kila nyumba Kwa nje either wanakaanga dagaa Mchele au mihogo asuhubi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ukichelewa sana sana
Wengine rafik yao wa faida zaidi ni MUNGU sasa wewe jichanganye uone




nimechekaa had machozii, cazee ko wee rafiki ako ni Mungu?? WoiiiiiNa vile walivyo wafupi kumbe warefu , coca atakuwa hasikii kitu![]()





mbna hatariii.