Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂
Umenikumbusha dereva mmoja juzi
Tukabaki kushika vichwa
Ameovertake magari mengi,,halafu mbele yake kuna magari yanakuja,,akaingia tena
Heri alikuwa pekeyake.
Madereva boda Mungu awasaidie aisee maana ukishashika boda tu akili inakuwa si kujipachika kulekule kwenye magari aliyoyaovertake na nafasi hakuna,
sasa Ile ingia yake😂🙌
Boda aisee balaa
Napanda hadi itokee ulazima .

Siku nimepanda mshikaki tunaenda tu karibu nikamwambia naomba usipite kati aisee .
Barabara yenyewe ndogo halafu apite kati ya magari .
 
Hahhaa na Chamanzi je
Kuna vyumba unasema jamani duh

Wakati naanza kupanga nilitamani kukaa Mbagala aisee
Life la kule wanasema ni rahisi tofauti na kwingine huku
Yes.

Chamazi mbagala wanalife rahisi sanaa.

Asubuhi mihogo yakukaanga mchana ugali dagaaa na pilipili. Yani kila nyumba Kwa nje either wanakaanga dagaa Mchele au mihogo asuhubi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes.

Chamazi mbagala wanalife rahisi sanaa.

Asubuhi mihogo yakukaanga mchana ugali dagaaa na pilipili. Yani kila nyumba Kwa nje either wanakaanga dagaa Mchele au mihogo asuhubi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko raha aiseee
Vitu vingi bei chee , huku kwingine ni kuvumilia tu

Vyumba vizuri sana kwa sie tunaanza maisha panafaa huku ukiijpanga .
 
Back
Top Bottom