sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,151
Yes.Hahhaa na Chamanzi je
Kuna vyumba unasema jamani duh
Wakati naanza kupanga nilitamani kukaa Mbagala aisee
Life la kule wanasema ni rahisi tofauti na kwingine huku
Chamazi mbagala wanalife rahisi sanaa.
Asubuhi mihogo yakukaanga mchana ugali dagaaa na pilipili. Yani kila nyumba Kwa nje either wanakaanga dagaa Mchele au mihogo asuhubi
Sent using Jamii Forums mobile app