Ngulii
Senior Member
- Jun 15, 2023
- 127
- 203
Tuna haraka sana,halafu huu udereva husomei ,nikufundishana tu kitaani😂
Umenikumbusha dereva mmoja juzi
Tukabaki kushika vichwa
Ameovertake magari mengi,,halafu mbele yake kuna magari yanakuja,,akaingia tena
Heri alikuwa pekeyake.
Madereva boda Mungu awasaidie aisee maana ukishashika boda tu akili inakuwa si kujipachika kulekule kwenye magari aliyoyaovertake na nafasi hakuna,
sasa Ile ingia yake😂🙌
