Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂
Umenikumbusha dereva mmoja juzi
Tukabaki kushika vichwa
Ameovertake magari mengi,,halafu mbele yake kuna magari yanakuja,,akaingia tena
Heri alikuwa pekeyake.
Madereva boda Mungu awasaidie aisee maana ukishashika boda tu akili inakuwa si kujipachika kulekule kwenye magari aliyoyaovertake na nafasi hakuna,
sasa Ile ingia yake😂🙌
Tuna haraka sana,halafu huu udereva husomei ,nikufundishana tu kitaani
 

Umenikumbusha dereva mmoja juzi
Tukabaki kushika vichwa
Ameovertake magari mengi,,halafu mbele yake kuna magari yanakuja,,akaingia tena
Heri alikuwa pekeyake.
Madereva boda Mungu awasaidie aisee maana ukishashika boda tu akili inakuwa si kujipachika kulekule kwenye magari aliyoyaovertake na nafasi hakuna,
sasa Ile ingia yake
 
Ngoja kwanza
 

Attachments

  • 20230616_113819.jpg
    20230616_113819.jpg
    626.1 KB · Views: 4
Tuna haraka sana,halafu huu udereva husomei ,nikufundishana tu kitaani
Wengi wenu ni vichaa
Akili si zao tena.

Yaani wapo rafu mno,
Kila ninapopita pale makumbusho ile junction ya stand,nakutaga bodaboda amebutua gari
Mara kajivaa kwenye gari anavuja damu.


Taa zimewashwa nyekundu,yeye anaenda kupita.
Unajiuliza hivi huyu akili yake iko sawa kweli?
 
Back
Top Bottom