Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,325
- 2,590
Wewe ni yupi hapa?View attachment 2659272
[emoji124]
Wewe ni yupi hapa?View attachment 2659272
[emoji124]
Karibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekesheee, kuna boda nusu aniwahishe aridhini kisa upumbavu wake wa kutaka kuwahi. LolWakishashika tu ile toyo akili huwa zinapeperuka na ule upepo
Nikachukue mwili mzimaa Aaliyyah 🤣😂😂Ukachukue ubavu wako au sio 😃
😂😂😂😂Dah kumbe kunakuwaga Kuna chai nzitoPole 🤣🤣🤣
Sasa akija mwenye ubavu wake umpe ili uwe unakunywa Chai nzito mapema kabisaaaa 😃
Chai kwa wahuni Ni kipigoo 🤣😂😂😂😂😂Dah kumbe kunakuwaga Kuna chai nzito
,🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utadhan skeleton, uwiiiiih
Wewe baba si nitakufa
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka kifala 😂😂🤣, we mwehu kweli🤣😂😂Wewe baba si nitakufa
Coca we kwani mnene🤣😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] yaan
Ni kimbau mbau, ila huyo sijamfikia bado, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca we kwani mnene[emoji1787][emoji23][emoji23]
Sema vimbau mbau ndo 🔥🔥🔥Ni kimbau mbau, ila huyo sijamfikia bado, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila la heri.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baada ya weekend hii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanafunzi nyinyi mnaringa saana mpo kwenye Boda bado mnataka kuchart na wabebez zenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekesheee, kuna boda nusu aniwahishe aridhini kisa upumbavu wake wa kutaka kuwahi. Lol
Mbna alinishusha kwa lazimaa. Sitakii kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa mnooo. Aseeeeh ilikua kasheshee.Kila la heri.
Nakumbuka enzi za UE. kuna somo lilikuwa tough saana intermidiate micro economics SASA kuna jamaa tukampanga atupige tafu.
Ile tumepangwa tuu hatujaanza pepa msimamizi akamhamisha jamaaa.
Tulitamani ardhi ipasuke. Maana Ile ulikuwa ukisup huchomoi unabeba. Haumalizi[emoji1787][emoji1787].
Sent using Jamii Forums mobile app