Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,331
- 96,584
,🤣🤣🤣utadhan skeleton, uwiiiiih
Wewe baba si nitakufa
Nimecheka kifala 😂😂🤣, we mwehu kweli🤣😂😂Wewe baba si nitakufa
Coca we kwani mnene🤣😂😂yaan
Ni kimbau mbau, ila huyo sijamfikia bado,Coca we kwani mnene![]()




Sema vimbau mbau ndo 🔥🔥🔥Ni kimbau mbau, ila huyo sijamfikia bado,![]()
Kila la heri.baada ya weekend hii.

.usinichekesheee, kuna boda nusu aniwahishe aridhini kisa upumbavu wake wa kutaka kuwahi. Lol
Mbna alinishusha kwa lazimaa. Sitakii kabisaa


wanafunzi nyinyi mnaringa saana mpo kwenye Boda bado mnataka kuchart na wabebez zenuKila la heri.
Nakumbuka enzi za UE. kuna somo lilikuwa tough saana intermidiate micro economics SASA kuna jamaa tukampanga atupige tafu.
Ile tumepangwa tuu hatujaanza pepa msimamizi akamhamisha jamaaa.
Tulitamani ardhi ipasuke. Maana Ile ulikuwa ukisup huchomoi unabeba. Haumalizi.
Sent using Jamii Forums mobile app





nimechekaa mnooo. Aseeeeh ilikua kasheshee.Nini Tena mkuu🤔🤔
Hahahaha, kweli haya maandalizi
Tabata pako fresh sana
Ilikua likizo, ilikua Songea town, ali overtake kumbe mbele lory LA makaa ya mawe linakuja mkuku mkuku, ilibidi tupishie mtaron, sema sikuumia, nkampa hela yake nkasubiri bajaji.wanafunzi nyinyi mnaringa saana mpo kwenye Boda bado mnataka kuchart na wabebez zenu
Sent using Jamii Forums mobile app




mbwa yulee, lile lory lingetuvaa si kila kiungo kinakaa kwakee, woiiiiiihHasa kule tabata kinyerezi- mwisho, kanisani- Kuna watu wamejenga mijumba aise 🔥🔥Tabata pako fresh sana
Isingekuwa ndugu zangu wanakaa huko ningekaa huko .
Tuna andaa mitambo, kabla ya kuja kuenda vitani- someday😂🤣🤣Hahahaha, kweli haya maandalizi
I mean no malice to nobodykhaaaaah