Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣
Nipo kwenye maandalizi Aaliyyah 🤣😂
FB_IMG_16867516126989673.jpg
 
baada ya weekend hii.
Kila la heri.

Nakumbuka enzi za UE. kuna somo lilikuwa tough saana intermidiate micro economics SASA kuna jamaa tukampanga atupige tafu.

Ile tumepangwa tuu hatujaanza pepa msimamizi akamhamisha jamaaa.

Tulitamani ardhi ipasuke. Maana Ile ulikuwa ukisup huchomoi unabeba. Haumalizi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la heri.

Nakumbuka enzi za UE. kuna somo lilikuwa tough saana intermidiate micro economics SASA kuna jamaa tukampanga atupige tafu.

Ile tumepangwa tuu hatujaanza pepa msimamizi akamhamisha jamaaa.

Tulitamani ardhi ipasuke. Maana Ile ulikuwa ukisup huchomoi unabeba. Haumalizi.



Sent using Jamii Forums mobile app
nimechekaa mnooo. Aseeeeh ilikua kasheshee.
 
wanafunzi nyinyi mnaringa saana mpo kwenye Boda bado mnataka kuchart na wabebez zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua likizo, ilikua Songea town, ali overtake kumbe mbele lory LA makaa ya mawe linakuja mkuku mkuku, ilibidi tupishie mtaron, sema sikuumia, nkampa hela yake nkasubiri bajaji.

mbwa yulee, lile lory lingetuvaa si kila kiungo kinakaa kwakee, woiiiiiih
 
Back
Top Bottom