Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Kila mtu ni mzuri kutokana na umbo lake .Madam English figure SI ndo hao ??, Afu Kuna wengine wenye hayo mashape Kama wagonjwa🤣😂
Haya mengine extra
Kila mtu ni mzuri kutokana na umbo lake .Madam English figure SI ndo hao ??, Afu Kuna wengine wenye hayo mashape Kama wagonjwa🤣😂
Boss sina hata picha mpyaMimi niko salama kabisa
Selfike basi mdogo wangu umemisika ujue
Eehh na chubby pia .Slimthick😋
Eeh muda dearNzuri
Kitambo sana hatujaonana hapa
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji119][emoji119]Pitch [emoji2956]View attachment 2659378
😂Nitaangusha abiria
Habari kaka
Habari yako Tinsley.Habari kaka
Hello Sumbai
Boda aisee balaa😂
Umenikumbusha dereva mmoja juzi
Tukabaki kushika vichwa
Ameovertake magari mengi,,halafu mbele yake kuna magari yanakuja,,akaingia tena
Heri alikuwa pekeyake.
Madereva boda Mungu awasaidie aisee maana ukishashika boda tu akili inakuwa si kujipachika kulekule kwenye magari aliyoyaovertake na nafasi hakuna,
sasa Ile ingia yake😂🙌
Kaka anavaa 42 🤣Kiatu cha Kaka 😂😂😂
Hivi hicho kiatu kizuri kinauzwa au?? Kuna mteja hapa anaulizia bei ya kiatu na huo mguuHello Sumbai
Wasiwasi ndio akiliBoda aisee balaa
Napanda hadi itokee ulazima .
Siku nimepanda mshikaki tunaenda tu karibu nikamwambia naomba usipite kati aisee .
Barabara yenyewe ndogo halafu apite kati ya magari .
Nzuri tu hukuHabari yako Tinsley.
Huku dar kijijini kwema.
Tafadhali msalimie St Anne
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Huko ni kijijini. Ni bikini vilivyopo mjini.Nzuri tu huku
Hamna kijiji huku hata Chanika siku hizi ni mjini kweli .
Saint Anne unasalimiwa huku .
Hakika
Hahhaa na Chamanzi jeHapana. Huko ni kijijini. Ni bikini vilivyopo mjini.
Huko chanika nyumba ya kupanga ya laki unapata nyumba nzima na parking
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yes. Ila kariakoo hamna Bora wale wanavaa vindala nakukaa upande huku wameninginiza mguu mmojaHakika
Safety first ..
Sehemu kama kariakoo naenda sipajui natembea hadi nipaone
yani kule watu ndo wanaendesha rough sana mara kaingia barabara ya mwendokasi .
Yaani sipandi boda boda huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yes. Ila kariakoo hamna Bora wale wanavaa vindala nakukaa upande huku wameninginiza mguu mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app