Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Kinyerezi kuna majumba balaaHasa kule tabata kinyerezi- mwisho, kanisani- Kuna watu wamejenga mijumba aise 🔥🔥
Mji unazidi kuendela aisee .
Same as Goba .
Kinyerezi kuna majumba balaaHasa kule tabata kinyerezi- mwisho, kanisani- Kuna watu wamejenga mijumba aise 🔥🔥
Yeah Tena ni maghorofa ya watu binafsi tu, tutafutenu Hali za ki maishaKinyerezi kuna majumba balaa
Mji unazidi kuendela aisee .
Same as Goba .
Ilikua likizo, ilikua Songea town, ali overtake kumbe mbele lory LA makaa ya mawe linakuja mkuku mkuku, ilibidi tupishie mtaron, sema sikuumia, nkampa hela yake nkasubiri bajaji.
mbwa yulee, lile lory lingetuvaa si kila kiungo kinakaa kwakee, woiiiiiih




Mimi boda huwa namwambia kabisa kuwa kimbia ila kwenye taa usikatize kama hazijaruhusuusinichekesheee, kuna boda nusu aniwahishe aridhini kisa upumbavu wake wa kutaka kuwahi. Lol
Mbna alinishusha kwa lazimaa. Sitakii kabisaa
Naaaam. Watu wanajenga haswaa.Hasa kule tabata kinyerezi- mwisho, kanisani- Kuna watu wamejenga mijumba aise![]()
Wanavuta ugoro sijui na Bhangi SASA wakiwa kwenye Boda Ile spidi wao hawaioni kabisaaa.Mimi boda huwa namwambia kabisa kuwa kimbia ila kwenye taa usikatize kama hazijaruhusu
Vilema tayari ninavyo vya kutosha aisee.
Kwanza huwa napanda mara mojamoja sana nikishachelewa.
Kwa kweli bodaboda wa miaka hii sijui ndo kuvurugwa na maisha..
Hajali kabisa usalama wake.
Napapenda saana. Na utulivu ni wakutosha.Kinyerezi kuna majumba balaa
Mji unazidi kuendela aisee .
Same as Goba .
Ewaah tutafute pesa jamaniYeah Tena ni maghorofa ya watu binafsi tu, tutafutenu Hali za ki maisha
CocasticIlikua likizo, ilikua Songea town, ali overtake kumbe mbele lory LA makaa ya mawe linakuja mkuku mkuku, ilibidi tupishie mtaron, sema sikuumia, nkampa hela yake nkasubiri bajaji.
mbwa yulee, lile lory lingetuvaa si kila kiungo kinakaa kwakee, woiiiiiih
Wakisema money is not everything it's okay, ila pata hizo pesa ndo uongee upuuzi huo🤣😂😂Ewaah tutafute pesa jamani
Kila nikikumbukaaa huwa hadi natetemekaa, ilikua mwisho wangu kabisaa.
Itakuwa pametulia hapo
Mie huku Dar sitaki boda boda, nawajua wamesha vurugwaa kabisaa.Mimi boda huwa namwambia kabisa kuwa kimbia ila kwenye taa usikatize kama hazijaruhusu
Vilema tayari ninavyo vya kutosha aisee.
Kwanza huwa napanda mara mojamoja sana nikishachelewa.
Kwa kweli bodaboda wa miaka hii sijui ndo kuvurugwa na maisha..
Hajali kabisa usalama wake.




Money makes you glow aiseeWakisema money is not everything it's okay, ila pata hizo pesa ndo uongee upuuzi huo🤣😂😂
Bar ni nyingi Ila sio saana. So far labda uwe unaishi near to it. Lakini hazisababishi kelele mji mzima.Itakuwa pametulia hapo
Nawaza ma bar yote kule ..
Mengi sana
Hata usijari bruuh, utanambia mapema ili nikate tickets za mtu 2, afu tutapita njia ya Lindi, tukiwa Tunarudi Dsm tutapita moro.Cocastic
Pls one day take me to Songea. Natamani saana nipate sababu ya kwenda songea
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nimeona kwenye kipindi cha Ujenzi huko Goba estate wanajisifia ni vijana watupu wamejenga .