cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,335
- 188,008
Kila nikikumbukaaa huwa hadi natetemekaa, ilikua mwisho wangu kabisaa.
Kila nikikumbukaaa huwa hadi natetemekaa, ilikua mwisho wangu kabisaa.
Itakuwa pametulia hapo
Mie huku Dar sitaki boda boda, nawajua wamesha vurugwaa kabisaa.Mimi boda huwa namwambia kabisa kuwa kimbia ila kwenye taa usikatize kama hazijaruhusu
Vilema tayari ninavyo vya kutosha aisee.
Kwanza huwa napanda mara mojamoja sana nikishachelewa.
Kwa kweli bodaboda wa miaka hii sijui ndo kuvurugwa na maisha..
Hajali kabisa usalama wake.
Money makes you glow aiseeWakisema money is not everything it's okay, ila pata hizo pesa ndo uongee upuuzi huo🤣😂😂
Bar ni nyingi Ila sio saana. So far labda uwe unaishi near to it. Lakini hazisababishi kelele mji mzima.Itakuwa pametulia hapo
Nawaza ma bar yote kule ..
Mengi sana
Hata usijari bruuh, utanambia mapema ili nikate tickets za mtu 2, afu tutapita njia ya Lindi, tukiwa Tunarudi Dsm tutapita moro.Cocastic
Pls one day take me to Songea. Natamani saana nipate sababu ya kwenda songea
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nimeona kwenye kipindi cha Ujenzi huko Goba estate wanajisifia ni vijana watupu wamejenga .
Mwanza papo vzr saana. Hususani njururu ukiwa nazoSema Tinsley mi my favorite place to live ni mwanza
Anha okay , binafsi sipendi keleleBar ni nyingi Ila sio saana. So far labda uwe unaishi near to it. Lakini hazisababishi kelele mji mzima.
Bar inayopiga kelele labda BL park. Nyingine ni tulivu saaana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes network not reachable 😂😂😂🏃Nimecheka kifala 😂😂🤣, we mwehu kweli🤣😂😂
Yes. Kule ni high class tuu.Jana nimeona kwenye kipindi cha Ujenzi huko Goba estate wanajisifia ni vijana watupu wamejenga .
Ghorafa za maana semaa hazijafikia za Bunju beach na Mbweni kule aisee .
Yaani mi Nita zunguka pote, ila mwisho narest hapo na Aaliyyah 😍😂
Kumaanisha 🤔😂🤣🤣Sometimes network not reachable 😂😂😂🏃
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahah ngapi?? Ukianzia tabata relini paka mbezi kuna baa chache 40 40 micassa kitambaa the great pale kites BL G7 then kibozone. Zimeisha...Anha okay , binafsi sipendi kelele
Yeah bar zipo barabarani sana
Safi saana. Una machoYaani mi Nita zunguka pote, ila mwisho narest hapo na Aaliyyah [emoji7][emoji23]
Macho ya ninj mkuu🤔
Upo vzr. Safi. Ile yenye milima mikali ni ipi?Hata usijari bruuh, utanambia mapema ili nikate tickets za mtu 2, afu tutapita njia ya Lindi, tukiwa Tunarudi Dsm tutapita moro.
Wee unasemajee.
Hamna hataYes. Kule ni high class tuu.
Huku tabata kinyerezi watu wamechanganyika mostly ni middle income earners very few high profile people. Pia kuna low income earners hao ndio tunao haribu mji WA watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Flamingo Inn?? Umesahau [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahah ngapi?? Ukianzia tabata relini paka mbezi kuna baa chache 40 40 micassa kitambaa the great pale kites BL G7 then kibozone. Zimeisha...
Chache saaana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app