Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,149
- 43,098
Ulale Unono.Inshallah kama salama kesho kwa uwezo wa Allah. Sie tupo magetini kwa Wahindi tunawalindia maduka yaoNiwatakie usikumwema
Ulale Unono.Inshallah kama salama kesho kwa uwezo wa Allah. Sie tupo magetini kwa Wahindi tunawalindia maduka yaoNiwatakie usikumwema
😂😂😂😂sasa coca atakua asha chukuliwaa utampatia wapiii? Ntaenda kigoma kwa cazee, utanionea wapii
Waha unawajua wee??
Huko Kigoma hakufai Bestie, Kuna Celeb mmoja kwenye Politikisi nasikia kwenye nyumba yake ana bwawa lina Mamba. 😂😂😂😂
Huko kawaidaa km wanyasa tyuuh, kuna mtu alishangaa kwenye beseni LA kuogea bafuni mamba kajaa mzima mzimaHuko Kigoma hakufai Bestie, Kuna Celeb mmoja kwenye Politikisi nasikia kwenye nyumba yake ana bwawa lina Mamba.![]()






Kuna yule Mzee wa Nyasa anaongea na Mamba na wanamwelewwa kabisa. Kule Kigoma ni balaa mnoo dk moja mtu anapotea na an aibukia Dar 😂😂😂😂Huko kawaidaa km wanyasa tyuuh, kuna mtu alishangaa kwenye beseni LA kuogea bafuni mamba kajaa mzima mzima
![]()
Kuna yule Mzee wa Nyasa anaongea na Mamba na wanamwelewwa kabisa. Kule Kigoma ni balaa mnoo dk moja mtu anapotea na an aibukia Dar![]()







Ebo! Wapi huko tena?Kuna mahali nimekuonaaa,![]()
Wengine rafik yao wa faida zaidi ni MUNGU sasa wewe jichanganye uoneNitaroga mtu
Waniachie cocastic wangu
X wako wa zaman anataka kuloga mtuCazee km cuzooooo
Tishaaaa sanaaa
![]()
Na vile walivyo wafupi kumbe warefu , coca atakuwa hasikii kitusasa coca atakua asha chukuliwaa utampatia wapiii? Ntaenda kigoma kwa cazee, utanionea wapii
Waha unawajua wee??



🤣🤣🤣🤣Napenda amani sanaHuko aliko na yeye anawaza tu lakini siku akianza kuudai kwa nguvu utakoma kutinga 🤣🤣🤣🤣
Umeamkaje? Jana uliaga unaenda kulala,natumai umeamka salama🤣🤣🤣🤣
Yah alhamdulillah nimeamka salama kabisaUmeamkaje? Jana uliaga unaenda kulala,natumai umeamka salama
Mie pia nashukuru Mungu nimeamka salama kabisa, nafurahi km uko vzrYah alhamdulillah nimeamka salama kabisa
Vipi wew