Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,493
😀Mwanaume kupambanaLengo lako niendelee kupigwa kila siku humu ndani eh?
😀Mwanaume kupambanaLengo lako niendelee kupigwa kila siku humu ndani eh?
Shukran mkuuHbd mkuu
😊😊Sijatokea pande hizo kitambo sana aisee 🤣🤣🤣Nimependa hiyo sun downer aisee wewe ni Phhoographer , umenikumbusha kwenye ule uzi wa Photographer Corner wa yule Member alikuwa anatambulika kwa jina la Equilypz. Sijui yuko sikuhizi
Sidanganyiki!!!!!😁😁Maua tutakupa sisi, wewe usijifiche bhana, Halafu Wewe ndio Malikia wa huu uzi ujue 🤣 🤣 🤣 🤣
Hawa wananipa lift...nikikufanyia na wewe hivyo utafikisika.😏Bajaji ya shemejio ina lala doro!!
Unachukua za wengine.
Mmeumia sana
InapendezaSafiiii
🤣🤣🤣Sidanganyiki!!!!!😁😁
🤣 🤣 🤣Niko single 😀
🤣 🤣 🤣
Kuna wimbo wa Ujana wangu. Nimeukumbuka hebu nikuburudishe
Kwan yeye kautunza au anatak kunichosha tu kwanza tunachelewa kupeleka watoto shule 😀😀😀Kwahiyo bado umeutunza ubavu wa mwenye nao ? 🙂
Enzi za Ujana,udomo zege na hata shiling 100 sina hili Song lilikuwa lina trend sana kwenye kichwa yanguUpo huo😂
Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe katika nafsi ile ile.” (Surah Az-Zumar, Aya ya 6).Kwan yeye kautunza au anatak kunichosha tu kwanza tunachelewa kupeleka watoto shule 😀😀😀
Bado nazurura nao kwanza🤣🤣🤣Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe katika nafsi ile ile.” (Surah Az-Zumar, Aya ya 6).
Mwenye Ubavu wake umeshamkabidhi?
Sana yanAsante Cuzo
Nasikia huko kuna mawese ya kutosha
Ila jeifu wanakusudi sana, yaani picha hii tu ndo imefunguka kwenye app, zinginezo mpaka uende kwenye web.