Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

47a64675-a7e5-4387-b3f0-18f6d0d4912f.jpg
 
Unajua sana ni wapi 😁😁😁

Tena unaweza kuta we ndio ulikua unapita pita mbele ya camera yangu baada yakutoka kuangalia 🐒 🙈
Sijatokea pande hizo kitambo sana aisee 🤣🤣🤣Nimependa hiyo sun downer aisee wewe ni Phhoographer , umenikumbusha kwenye ule uzi wa Photographer Corner wa yule Member alikuwa anatambulika kwa jina la Equilypz. Sijui yuko sikuhizi
 
Kupatwa kwa Aaliyyah
🎵🎵Wanasemaga mapenzi safari
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
Niliposikiaga habari
Yakisifika nikakesha nangojea
Akabariki jalali na nikawika muziki nikauotea
Ile pruuu mpaka macca
Nikadandiaga bongo movie
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Ni kama tango natia tu chumyi
Mwenzenu nikaoza haswa
Na kujitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
Badala ya mbwa nikafuga mbuzi, hhhmmm

Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki
Ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki🎵🎵
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Believe my Words, Kikubwa ni uzima tu. Tunasongesha harakati kimya kimya. Halafu ingependeza wewe ukawa ni mtu wa PR lakini na wewe Unasomea Ma Course magumu magumu 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom