mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,937
relax, yameshaisha😂Umenisikitisha sana na huu udaku, Sasa kufuatilia mambo ya watu si utachoka sana ??? 🤣 🤣 🤣
relax, yameshaisha😂Umenisikitisha sana na huu udaku, Sasa kufuatilia mambo ya watu si utachoka sana ??? 🤣 🤣 🤣
Mama mchungajii, uko A town umeenda lini??Yaani Niko A-town baridi km loteee
Jmos
Maeneo maeneo km kawaida
Because you have many flaws, Nina relax 🙏 😉relax, yameshaisha😂
Niko kwenye baridi A-town
Yaani wewe😂😂🤣🤣, laivu Sana😂🤣 AaliyyahNilikuwa nasalimiana na majirani 😀
Acha unaaaa mshamba_hachekwi 😂😂kuna siku ulipost humu birthday skumbuki lini....
Uwe una fanya mikate anagalau 2 🤣😂😂
Acha unaaaa mshamba_hachekwi 😂😂
Ulipost?🤗🤗
Kuna mawili nilivaa juzi na jana hujayaona bado.....
Huyo Pep umemtoa wapi?😆Asante kwa kuni miss mama junia mke halali wa Guardiola Pep
Ni kitu gani hicho mama mchungaji?
Pep si kocha city a.k.a citizen🤣😂Huyo Pep umemtoa wapi?😆
Si yupo huko mjini Manchester jamani.
Ntakupigia nikuambie.
Usiku utakuwa na muda??
Mida ya saa3 hivi.
Let him bring it, I got a big hammer to nail him down.He has flaws, calm down
Pep kama pep😁Huyo Pep umemtoa wapi?😆
Si yupo huko mjini Manchester jamani.
Ntakupigia nikuambie.
Usiku utakuwa na muda??
Mida ya saa3 hivi.
Au nikupigie Sasahivi tu😂Pep kama pep😁
Karibu mdogo wangu we nipigie tu naamini nitakua macho muda huo
Na mimi nimeshangaa Mkuu,nakuwaje mkewe wakati yupo duniani huko,afu mimi nipo Nanjilinji ndanindani huku.Pep si kocha city a.k.a citizen🤣😂
Nipigie tu mama mchungaji anytimeAu nikupigie Sasahivi tu😂
Huyo Pep namuona tu alivyoipa Manchester vikombe vya kutosha😂,ndo huyo unayemsema?
Kuna pep alaf kuna pep wa mdogo wangu Saint AnnePep si kocha city a.k.a citizen🤣😂
Afu una waambia utawa bembeleza walale🤔🤔 AaliyyahNilikuwa nasalimiana na majirani 😀
mshamba_hachekwi, njoo uone nimepata jirani nanjilinjii 😁😆😂Na mimi nimeshangaa Mkuu,nakuwaje mkewe wakati yupo duniani huko,afu mimi nipo Nanjilinji ndanindani huku.
usinisumbue dogo nazima moto ujue😆 CA hazifai 0 kaa zote...mshamba_hachekwi, njoo uone nimepata jirani nanjilinjii 😁😆😂