Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

route ya kimara - kivukoni, kwa mwendokasii kuna wakaka wazuri mnooo, afu pambee sanaa.

Mie ndo napenda kuwatazamaa tyuuh. Mtu akiwa msafi anavutia mnoo.
Sanaaaa
Route ya kivukoni imejaa watu wengi civilized

Njoo sasa gerezani,,asilimia kubwa vibaka si vibaka
Gari inanuka hatari.
 
Dada unawapenda weupee??

Kuna mkaka alikua ananifatiliaa, ni mweupe ila mie hanifikii, nikamjibu ukweli, mie mwanaume mweupee hapanaa sihitaji, sasa wee mweupe, mie mweupe, utofauti uko wapi??


Nawataka weusiii, tukiwa Pa1 ni km coca na fanta. Woiiiiih
Sasa na huu weusi nikachukue tena mweusi mwenzangu
Katoto kanatoka mkaa.
 
Aaliyyah utulie ehh😍
FB_IMG_16867561783096403.jpg
 
dada wee hapanaaa, ko huwatakii walio km wavuta bangiii??
Yaani dogo hizi route zote 2 nimepiga kwa muda mrefu kwa vipindi tofauti
Ila Ile route ya gerezani hapana kwa kweli.

Majasho yanayokuwepo mule aisee unaweza ufe..
Kuna siku nilitaka kuzimia Magomeni kwa kukosa hewa..
Nikadondoka
Hatari sana.


Route ya kivukoni japo inakera sana kutoka fire hadi kufika Feri,foleni kibao

Ila angalau gari linanukia,tuna nafuu.
 
Hapo sasa. Ila wanaume weusi wapewe maua yaooo.

Ila wegine kweli muwapende wanaume weupe, ili kaka na mdogo angu wapate wenza. .
Wapewe tu ,wapeni nyie wenyewe

Mm nawapa weupe.

Unakuta kaka mweusi tiii anakuja
Uwii nasema Mungu epushia mbali.

Asante Mungu tu nina bahati na weupe.
 
Back
Top Bottom