mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,278
- 71,950
nani huyo unampigia chuma ukamkomoe😂 ni Lenie ??
nani huyo unampigia chuma ukamkomoe😂 ni Lenie ??
Unatusema wasukuma tena😅Ahahah dah nikiangalia miguu yangu imevaa vumbi mpaka nafanana na wasukuma
Hapana mkuu natoa sumu mwilini tu🤣nani huyo unampigia chuma ukamkomoe😂 ni Lenie ??
Navyopenda samaki, nitakuja kukupokea stand kabisa mbonaOle wako usije chukua
Bora stand aisee🤣Navyopenda samaki, nitakuja kukupokea stand kabisa mbona
Namuwahi mapemaaaBora stand aisee🤣
Ahaa ahaa hakuna kituUnaonekana una umbo fulan hivi matata sana
Maisha sanaa halafu hali ya hewa inatuhusu dearHaaha
Watu wa huku ni hizi boot
Weeeuhhh
Dogo aliweka mtego😊Namuwahi mapemaaa
Sanaaaaroute ya kimara - kivukoni, kwa mwendokasii kuna wakaka wazuri mnooo, afu pambee sanaa.
Mie ndo napenda kuwatazamaa tyuuh. Mtu akiwa msafi anavutia mnoo.
Sasa na huu weusi nikachukue tena mweusi mwenzanguDada unawapenda weupee??
Kuna mkaka alikua ananifatiliaa, ni mweupe ila mie hanifikii, nikamjibu ukweli, mie mwanaume mweupee hapanaa sihitaji, sasa wee mweupe, mie mweupe, utofauti uko wapi??
Nawataka weusiii, tukiwa Pa1 ni km coca na fanta. Woiiiiih
Bro uko poaDogo aliweka mtego😊
Embu selfika tuone weusi wako wa kimahaba![]()

Sanaaaa
Route ya kivukoni imejaa watu wengi civilized
Njoo sasa gerezani,,asilimia kubwa vibaka si vibaka
Gari inanuka hatari.





dada wee hapanaaa, ko huwatakii walio km wavuta bangiii??Hapo sasa. Ila wanaume weusi wapewe maua yaooo.Sasa na huu weusi nikachukue tena mweusi mwenzangu
Katoto kanatoka mkaa.




.Yaani dogo hizi route zote 2 nimepiga kwa muda mrefu kwa vipindi tofautidada wee hapanaaa, ko huwatakii walio km wavuta bangiii??
Wapewe tu ,wapeni nyie wenyeweHapo sasa. Ila wanaume weusi wapewe maua yaooo.
Ila wegine kweli muwapende wanaume weupe, ili kaka na mdogo angu wapate wenza..
Niende wapi Sasa mambo ni magumu huko uraiani😀😀😀Aaliyyah utulie ehh😍View attachment 2657452