Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah...

You know what, I prefer meeting peeps in personal, maana ishatokea so many countless times and i don mind...

Why meeting in personal, maana hapo takutana na mtu mmoja, lakini ukiweka picha it's like one person meeting a bunch of peeps virtually...

Halafu em losers will be like wanakujua sana, idiots watakuja na yao etc etc (na JF bahati mbaya iko zaidi na jamii hii ya watu kuliko wengineo)...
Mkuu nisaidie basi ni-meet na Atoto, yeye haelewi kukutana live ndio mpango mzima, ila hiyo ya ku-check mwaka mzima mimi sitaweza
 
Back
Top Bottom