Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,402
- 96,717
Aisee wageni tuta andamana hadi kwa Raisi, maana hapa ni kutufukuza kwa vitendo😂🤣🤣
Aisee wageni tuta andamana hadi kwa Raisi, maana hapa ni kutufukuza kwa vitendo😂🤣🤣
Exactly ni seedbox hio mkuu, unalipia au umehost mwenyewe?
Nimehost mwenyeweExactly ni seedbox hio mkuu, unalipia au umehost mwenyewe?
Naona speed iko poa, nimependa UI yake nita host server ninayo, mi natumia transmission, utorrent nimeikubali salute mkuu.
Seeders wengi mzee,, afu hapa mtandao uko fastaNaona speed iko poa, nimependa UI yake nita host server ninayo, mi natumia transmission, utorrent nimeikubali salute mkuu.
🤣🤣🤣Aisee, walikuwa Wana nipepea😂🤣, Mana nilizimia Baada ya kuona emoji hiyo😂😂🤣 Aaliyyah
View attachment 2656457
Ndio raha yake, kama server ina 1gbps hata seeder wakiwa wa 5 mzigo unatembea chap sana.
Kuna ka nafasi ketu, pale mlangoni au ukutani😂🤣🤣 Aaliyyah
Kmmk, Jana nimekutag uko wapi mjuba. Afu leo una kuja kiboya🤔
niko bize dogo pesa inatafutwa😂Kmmk, Jana nimekutag uko wapi mjuba. Afu leo una kuja kiboya🤔
Mie dogo Tena🤔🤔, akati we umemalizaa form 4 Mwaka Jana🤣😂niko bize dogo pesa inatafutwa😂
Muondoke nipumzike!!!!!Aisee wageni tuta andamana hadi kwa Raisi, maana hapa ni kutufukuza kwa vitendo😂🤣🤣
endelea kuamini hivyo.... watu tuko kitaa tunapiga mishe za pesa ndefuMie dogo Tena🤔🤔, akati we umemalizaa form 4 Mwaka Jana🤣😂
Una sh ngapi
usinifanyie hivyo😅Una sh ngapi
Yaani Facebook ukiingia andaa mbavu zako
Mwingine anasema Juma Juma Juma
Nimekuita mara 3![]()



