Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekusubiria wee uniletee huyu mchuchu nikae nae hata TTG korogwe pale umeniangusha mbantu
🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ naonewa miye hata hajaniambia alipo ujue. Anarukaruka kama maharage ya ukweni. Alisema kusafiri bado. Kumbe kishafika huko? Sina habari Chino ake
 
Wanasema uzuri wa mtu, uko machoni kwa mtu. Usilinganishe na mtu. Kila mwanamke ana uzuri wake wa kipekee. Hakunaga mwanamke mbaya wote ni wazuri kwa vile utakavyomuona.
cc Kapachino
Hili toto mbantu Ni lizuri!

Kuna visu ukiviona first sight tu Unajua hiki chuma

Ayo ya machoni mwa mwatu Ni defending mechanism tu hahaha!! Li tonnia Ni lizuri tu
 
Back
Top Bottom