Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

afu pia dar naskia vitu ni expensive mno.... haswa mambo ya kodi
Hahah hamna aisee
watu tunaunga halafu tunaishi

kodi inategemea unataka room ya aina gani na sehemu pia .

mfano chamanzi vyumba bei rahisi sana , pia Malamba mawili vyumba bei cheee .

ishi kulingana na uwezo wako
 
Back
Top Bottom