Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,150
- 28,864
Una rangi nzuri sana,hongera.
Maonekano wa ngozi unaakisi uchumi wa mtu. Ngozi inaongea!!
Una rangi nzuri sana,hongera.
hii weekend tunakirusha wapi?? au tunachill tu....Camera tu hii ya mchongo
Ninapakwenda basihii weekend tunakirusha wapi?? au tunachill tu....
kuna siku niliona unaongelea kuhusu swimming 😂Ninapakwenda basi
nipo ghetto nachill tu ,
hali ya hewa ni kulala tu
Napenda eehkuna siku niliona unaongelea kuhusu swimming 😂
unapenda swimming afu sio muogeleaji😂 mbona sielewi....Napenda eeh
sema si muogeleaji 😂😂
eeh inawezekana , unapend kitu , huwezi kukifanya .unapenda swimming afu sio muogeleaji😂 mbona sielewi....
sijawahi kufika beach😂 mi kweli mshamba😂eeh inawezekana , unapend kitu , huwezi kukifanya .
napenda mazingira ya beach , patulivu , stress free
Ah pole , kweli jamani ??sijawahi kufika beach😂 mi kweli mshamba😂
Kwa kweliiii imekolezaa lipsAwwh sweet Coca
yaani Red lipstick haimkatai mtu .
ni utadamshi tu




arusha beach zetu ni vichemchem 😂Ah pole , kweli jamani ??
sie tulikuwa tunaenda tukiwa wadogo kabisa kila weekend .
ewah , mmeamkaje hukoKwa kweliiii imekolezaa lips
![]()
Arusha bonge la mjiarusha beach zetu ni vichemchem 😂
dar ndo penyewe.... mi naogopa tu zile foleni 😂Arusha bonge la mji
hata msipokuwa nayo sawa tu
Unatafuta eneo ambalo halisumbui ..dar ndo penyewe.... mi naogopa tu zile foleni 😂
afu pia dar naskia vitu ni expensive mno.... haswa mambo ya kodiUnatafuta eneo ambalo halisumbui ..
watu si wengi snaa
karibu na kazini pia
Hahah hamna aiseeafu pia dar naskia vitu ni expensive mno.... haswa mambo ya kodi
😍😍Umependeza sanaOkay sweetie
hali ya hewa tamu sana lazima tukumbuke mawigi yetu 😂😂
Asante mrembo 😍😍😍😍😍Umependeza sana
UmepitwaaMe sijaona weka tena.