mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
itabidi aisee.... nataka nione kasura kako kwanini unakafichaficha 😂We sema unakuja lini niandae ratiba ya kukuzungusha uenjoy huu mji🥰
itabidi aisee.... nataka nione kasura kako kwanini unakafichaficha 😂We sema unakuja lini niandae ratiba ya kukuzungusha uenjoy huu mji🥰
we only live once😂Furahi day🥂😊View attachment 2643763
Una rangi nzuri sana,hongera.
Maonekano wa ngozi unaakisi uchumi wa mtu. Ngozi inaongea!!

Maisha ndio haya haya mkuu, tunatafuta pesa kwa nguvu ila tusisahau kuishi!we only live once😂
Si ndio utaniona live nikija kukupokeaitabidi aisee.... nataka nione kasura kako kwanini unakafichaficha 😂
NakaziaMaisha ndio haya haya mkuu, tunatafuta pesa kwa nguvu ila tusisahau kuishi!
Mzee wa kukazia🤣Nakazia
Sina baya na mtu😂Mzee wa kukazia🤣
sawa.... ahadi ni deni 😂Si ndio utaniona live nikija kukupokea
Nakazia😅Sina baya na mtu😂
Vijana mnaanza eehsawa.... ahadi ni deni 😂
kaniambia siku nikifika dara atanipokea 😂Vijana mnaanza eeh
Nitakuja nae kukupokea😅kaniambia siku nikifika dara atanipokea 😂
usiwe na hofu mzee 😂Nitakuja nae kukupokea😅
Hilo muhimu mbona, au mshamba_hachekwi alifikiri nitaenda mwenyewe?🤣Nitakuja nae kukupokea😅
Dear sioni pichaaa, ila safari njemaa


Nyie vijana machachari sanausiwe na hofu mzee 😂
kani-friendzone ananiita totoo😂 sina ujanja....Nyie vijana machachari sana