Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Salama vipi wewe hukoMmeamka salama
Salama vipi wewe hukoMmeamka salama
Self zetu😂😂😂Anangoja nini?😅
Jana katuwekea kikatuniSelf zetu😂😂😂
Yupo nusry school ujui 😂Jana katuwekea kikatuni
Hapo sawaYupo nusry school ujui 😂
Leo morng umekula nini?Hapo sawa
Kama kawaidaLeo morng umekula nini?
mshamba_hachekwi Umeona vitabu hivyo🤔, sio wewe umejaza ma walpaper ya xx Kama vile matangazo ya waganga😂😂😂
Sorry lakini, hivi unaendaje chooni na hizo kucha🙄🙄😂 mshamba_hachekwi
Thats neat hapo Kofi la Mpenzi hata haliumi 😅
Aisee ni shida bro, unakuta saa 1, kuja kushituka saa 5😂😂. Afu Nina game la WWE. Bado season aisee ntajuta😂🤔Afu muda hua unasepa kinoma
Ukija achia pad unakuta saa limekata
Thats neat hapo Kofi la Mpenzi hata haliumi![]()



thank you babe, kofi ni kofi tuNa mikucha hiyo😂😂, siwezi kula. Au nakufua utasema unatumia washing machine 🤔😂😂Usijali!!
Tunashika toilet paper tunajifuta
tunachukua maji tunajisafisha.
tunachukua sabuni tunanawa.
tunakausha mkono.
tunamalizia hand lotion.
Au mwenzetu unashikaga uchafu na mikono uwiii ndo maana sipendagi kushikana mikono hovyo na watu!
Na mikucha hiyo, siwezi kula. Au nakufua utasema unatumia washing machine
![]()

ambayo hainihusu ila Uma na vijiko vimejaa!vile vibomba vya kutoa maji shwaaa vina kazi gani mkuu.. sema hiyo mikono na imagine ina ku massage 😊😊 dah.Sorry lakini, hivi unaendaje chooni na hizo kucha🙄🙄😂 mshamba_hachekwi
Salama. Mambo Aaliyyah ?Mmeamka salama
Kama Guangzhou au ShenzhenHappy Friday!😊View attachment 2643143
Vile vinaitwa shattaf mambo ya kushika nnya watu walishaachavile vibomba vya kutoa maji shwaaa vina kazi gani mkuu.. sema hiyo mikono na imagine ina ku massage 😊😊 dah.