Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Naona mkanda nje mkuu, unatoka job au class?Kwenye magofu ya Rapta.View attachment 2643533
Naona mkanda nje mkuu, unatoka job au class?Kwenye magofu ya Rapta.View attachment 2643533
😀😀😀 2018.Natoka jobu ( nilikuwa najitolea tu sehemu).Naona mkanda nje mkuu, unatoka job au class?
Weka current pic mkuu😀😀😀 2018.Natoka jobu ( nilikuwa najitolea tu sehemu).
Huyu mjinga Nina match naye ya mkanda. Ngoja nikampasue kwanza😂😂Hatupendi dharauuuView attachment 2643520
Hahaa haya ngoja nimheshimu shemuakeShemeji yako huyo muheshimu sana
😅😅😅 RKO inakuhusu kijanaHuyu mjinga Nina match naye ya mkanda. Ngoja nikampasue kwanza😂😂
me nataka lunch 😂😂
Usijali!!
Tunashika toilet paper tunajifuta
tunachukua maji tunajisafisha.
tunachukua sabuni tunanawa.
tunakausha mkono.
tunamalizia hand lotion.
Au mwenzetu unashikaga uchafu na mikono uwiii ndo maana sipendagi kushikana mikono hovyo na watu!




Utaokot 😂Itadondoka hiyo





ananifundisha usafi??


Nkamu unacheka nn
Kucha nimebandika mimi ila anaumwa yeyeananifundisha usafi??
![]()




mie nilichekaa mnooo, sema nilikua buzzy ule muda, ila JF bhanaaa.IamBrianLeeSnr kumbe ni hii pisi ndiye mnafunguliana nyuzi😂, ni pisi kali kiukweliHi darlings.
Mi nawafatilia sana watu wa humu.
Asanteni kwa kutubless na picha zenu.
Mi sio mkaaji ila nimepita tu kuwasalimia na kuwabless kidogo.
Kuna wadada nawapenda humu ila naogopa kuwatag.
Haya mbaki salama.
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kidevu🔥
Nkamu unacheka nn
Kucha nimebandika mimi ila anaumwa yeyeananifundisha usafi??
![]()





Safi sana
😂😂Ila wewe Kaa hapohapo usitokeSafi sana
Beautiful
shusha tuone juicy lips .
Asante mamaa sitoki😂😂Ila wewe Kaa hapohapo usitoke
Junia anakutakia likizo njema
Asante Mama Junia mwambie likizo hii lake tu had saa sita hamna shule😂Junia anakutakia likizo njema
Awww beautiful