mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,937
ntakuja nihamie huko.... jiji la starehe😂 beaches and casinosHahah hamna aisee
watu tunaunga halafu tunaishi
kodi inategemea unataka room ya aina gani na sehemu pia .
mfano chamanzi vyumba bei rahisi sana , pia Malamba mawili vyumba bei cheee .
ishi kulingana na uwezo wako

