donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,139
Mwagilia moyo
Utaangalia wapi Mechi Boss ?Passport yangu ime expire nipo ubalozi wa Algeria hapa HABIB ويويوينينيمييميمبممميييمن
Hilo la WWE ngoj nlinyapie kwanzaAisee ni shida bro, unakuta saa 1, kuja kushituka saa 5😂😂. Afu Nina game la WWE. Bado season aisee ntajuta😂🤔
Itadondoka hiyoMchana mwema
Utaangalia wapi Mechi Boss ?
ضصصصصصص تتتتت
Ni Kali, mi nipo nacheza career. Nipo smackdownHilo la WWE ngoj nlinyapie kwanza
Hatupendi dharauuuNi Kali, mi nipo nacheza career. Nipo smackdown
hehehe ayaGuest
Naona mkanda nje mkuu, unatoka job au class?Kwenye magofu ya Rapta.View attachment 2643533
😀😀😀 2018.Natoka jobu ( nilikuwa najitolea tu sehemu).Naona mkanda nje mkuu, unatoka job au class?
Weka current pic mkuu😀😀😀 2018.Natoka jobu ( nilikuwa najitolea tu sehemu).
Huyu mjinga Nina match naye ya mkanda. Ngoja nikampasue kwanza😂😂Hatupendi dharauuuView attachment 2643520
Hahaa haya ngoja nimheshimu shemuakeShemeji yako huyo muheshimu sana
😅😅😅 RKO inakuhusu kijanaHuyu mjinga Nina match naye ya mkanda. Ngoja nikampasue kwanza😂😂
me nataka lunch 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usijali!!
Tunashika toilet paper tunajifuta
tunachukua maji tunajisafisha.
tunachukua sabuni tunanawa.
tunakausha mkono.
tunamalizia hand lotion.
Au mwenzetu unashikaga uchafu na mikono uwiii ndo maana sipendagi kushikana mikono hovyo na watu!
Utaokot 😂Itadondoka hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nkamu nimeangua cheko japo kifua kimenibana.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nilichekaa mnooo, sema nilikua buzzy ule muda, ila JF bhanaaa.Nkamu unacheka nn[emoji23][emoji23][emoji23]
Kucha nimebandika mimi ila anaumwa yeye[emoji23][emoji23][emoji23] ananifundisha usafi??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IamBrianLeeSnr kumbe ni hii pisi ndiye mnafunguliana nyuzi😂, ni pisi kali kiukweliHi darlings.
Mi nawafatilia sana watu wa humu.
Asanteni kwa kutubless na picha zenu.
Mi sio mkaaji ila nimepita tu kuwasalimia na kuwabless kidogo.
Kuna wadada nawapenda humu ila naogopa kuwatag.
Haya mbaki salama.
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰