cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Acc ya kuweka ada utaikuta PM


Acc ya kuweka ada utaikuta PM


😂😂😂 wewe acha uzungu wako wa kuiga uko canada bongo uku ulikuwa unakula na mafua yako 😂😂😂 umesahau njoo ukule kama utaki nakulisha kwalazimaDuh kuna usalama kweli hapo?![]()
Shikamoo shemeji"The purpose of our lives is to be happy." — Dalai Lama
View attachment 2642154
Mbeya mjini hii nasubir gar ya kurud mjiniPamoja ninetembelea baadhi ya maeneo ya Mbeya na Songwe. Hiyo wapi?
Hahaaaa 😀😀😀
Shemij yako kwanani?Shikamoo shemeji
Sasa ninawaambia ,Kijana yupo makini
Wala haitji kocha maximo Yuko chin
Haitaji msaada wa jezi kiwanja anacho ndani
Anafyatua vifaa kama yupo marekani eeh
Antonnia




shangaziii naomba niwacheee, nimecheka km chiziii, kweli likizo imebambaaa.Ndaga ndaga😂😂😂😂😂
Utaki sioHahaaaa 😀😀😀
Kumekuchaaaaaaaaa!!!Hebu lala uamke nikiwa na mbali na wee
Hebu kulakikushuke ukipenda jishebedue
Wasikutishe akili wasikutibue
Wanaoleta sekeseke ,waambie ooh bibi unitue
Utapewa maneno na wapekewape
Ukose Raha usichangamke
Pembeni uweke mm ndo wako naekufanya ucheke![]()






Sasa naenda kula chips soon 😂😂Ndaga ndaga😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Nimecheka hebu tulia totoshangaziii naomba niwacheee, nimecheka km chiziii, kweli likizo imebambaaa.
Woiiiiiih
Bongo nilikuwa sili hivyo vitu😅😂😂😂 wewe acha uzungu wako wa kuiga uko canada bongo uku ulikuwa unakula na mafua yako 😂😂😂 umesahau njoo ukule kama utaki nakulisha kwalazima
Wapiiii shangaziii akeee,Subira umesubiri umesubiri sana
Nn sijakuridhisha,kukupenda nakupenda sana
Nakupenda sana kipi Cha kukupa presha
Ama.massage nying sana ooh
Ndo zinazokutisha aah
Au missed call nying sana
Roho zakupeperusha
Kama ni hamu ushanimaliza huo utamu
Mpaka nasaza vingine sumu zitaniumiza ooh
Antonnia





Hahah huu wimbo wa taarab.Na yangu mengi mahitaji sinamida huo
Mimi nalisaka tonge Ili liende kinywani
Sijatia mazonge kujitia mashakani
Niende huku niende kule kuitafuta Riziki
Sio kupiga kelele kujiongezea dhiki![]()
Ulikuwa unakula nini?Bongo nilikuwa sili hivyo vitu😅
😂😂😂Leo nimeamka na mood ya kuimba😂Kumekuchaaaaaaaaa!!!![]()
Pizza na Lenie 😅Ulikuwa unakula nini?
Hayaa sasa likizo imetaradadiiiiiiiNa yangu mengi mahitaji sinamida huo
Mimi nalisaka tonge Ili liende kinywani
Sijatia mazonge kujitia mashakani
Niende huku niende kule kuitafuta Riziki
Sio kupiga kelele kujiongezea dhiki@Antoniia





