Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 20,261
- 49,198
😂😂😂😂Nimecheka hebu tulia toto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii naomba niwacheee, nimecheka km chiziii, kweli likizo imebambaaa.
Woiiiiiih
😂😂😂😂Nimecheka hebu tulia toto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii naomba niwacheee, nimecheka km chiziii, kweli likizo imebambaaa.
Woiiiiiih
Bongo nilikuwa sili hivyo vitu😅😂😂😂 wewe acha uzungu wako wa kuiga uko canada bongo uku ulikuwa unakula na mafua yako 😂😂😂 umesahau njoo ukule kama utaki nakulisha kwalazima
Wapiiii shangaziii akeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji444]Subira umesubiri umesubiri sana
Nn sijakuridhisha,kukupenda nakupenda sana
Nakupenda sana kipi Cha kukupa presha
Ama.massage nying sana ooh
Ndo zinazokutisha aah
Au missed call nying sana
Roho zakupeperusha
Kama ni hamu ushanimaliza huo utamu
Mpaka nasaza vingine sumu zitaniumiza ooh[emoji444][emoji444]
Antonnia
Hahah huu wimbo wa taarab.[emoji444]Na yangu mengi mahitaji sinamida huo
Mimi nalisaka tonge Ili liende kinywani
Sijatia mazonge kujitia mashakani
Niende huku niende kule kuitafuta Riziki
Sio kupiga kelele kujiongezea dhiki[emoji444]
Ulikuwa unakula nini?Bongo nilikuwa sili hivyo vitu😅
😂😂😂Leo nimeamka na mood ya kuimba😂Kumekuchaaaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pizza na Lenie 😅Ulikuwa unakula nini?
Hayaa sasa likizo imetaradadiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji444]Na yangu mengi mahitaji sinamida huo
Mimi nalisaka tonge Ili liende kinywani
Sijatia mazonge kujitia mashakani
Niende huku niende kule kuitafuta Riziki
Sio kupiga kelele kujiongezea dhiki[emoji444]@Antoniia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa. Iambatane na admission formAcc ya kuweka ada utaikuta PM
[emoji120][emoji120]
Kila siku? Mbona mlikuwa mnanitenga?Pizza na Lenie 😅
Poa uwe na safari njemaMbeya mjini hii nasubir gar ya kurud mjini
Ngoja aje Lenie akuelezee vizuriKila siku? Mbona mlikuwa mnanitenga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi shule zifunguliwe harakaa, watakukosaa wee, watashangaa ushakua Sabaha muchacho. Uwiiiiih[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka hebu tulia toto
AsantePoa uwe na safari njema
Hiyo ACC si ndo ya Massachusetts, utalipia direct, sitaki inifikie mie ntaila buree.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa. Iambatane na admission form
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka ww ndio unielezeeNgoja aje Lenie akuelezee vizuri
😂😂😂Jana Ilikuwa siku ya kucheza mziki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi shule zifunguliwe harakaa, watakukosaa wee, watashangaa ushakua Sabaha muchacho. Uwiiiiih
Mtoto wa darSasa naenda kula chips soon 😂😂
😂😂😂😂 kuna shida?Mtoto wa dar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] direct cost Dola ngapi??Hiyo ACC si ndo ya Massachusetts, utalipia direct, sitaki inifikie mie ntaila buree.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]