Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,873
Aisee!!kwanza wakati G ananifatilia nilikua naona km anataka kunitia shombo. Niliona hatuwezaniii
Ni mkaka m1 mpolee, mkimyaa, mtaratibuu, kifupi ni introvert, bhana bhanaaa
Siku ya kwanza kumpaa, hadi nikawa najiuliza ndo yeye huyu au nimechanganyaa,
G ameniwezaaa
Mambo mrembo Aaliyyah!?Nina kiherehere tu
![]()
Unasemaaa????kwanza wakati G ananifatilia nilikua naona km anataka kunitia shombo. Niliona hatuwezaniii
Ni mkaka m1 mpolee, mkimyaa, mtaratibuu, kifupi ni introvert, bhana bhanaaa
Siku ya kwanza kumpaa, hadi nikawa najiuliza ndo yeye huyu au nimechanganyaa,
G ameniwezaaa
Mzee wa Tunduma. Na south niajeKama hana Cheti
Bhas kuna jambo
Linatokea muda si mrefu
Visit vifupi havija Anza Leo South Africa ishakuwa Kama sehem ya utamaduni wao. Si unakumbuka hata Ile movie ya sarafina??Lakini serikali ya SA nayo iwe na ufikirio kwa visketi vile ni ngumu kwa kidume rijali kuishia kula kwa macho lazima utataka kuona kama yaliyomo yamo
Limbwarta gani umempa bwnaa shemeji hapinduiJomoneeee nipooo dear vipi wee??
Niligombana na G Mda, ndo nimetoka kuongea nae sasa hivi kaniomba msamaha na kunibembelezaa, nlitamani asikate cm aendelee kunibembelezaa
![]()
Hahahahahaha hiyo fresh2 maana hapa dunian cha peke yako ni kabuli2
Ni sahihi kabisa nakumbuka mwanawane, mi vinanipagawisha kinyamaVisit vifupi havija Anza Leo South Africa ishakuwa Kama sehem ya utamaduni wao. Si unakumbuka hata Ile movie ya sarafina??
Sent using Jamii Forums mobile app
Masters itakua Massachusetts,





Kimataifa bado sana Utopolo kuifikia Simba 😅🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🤗!!
Yanga chama kubwaaaaaa!! 💛💚💪💪💪
Mtoto wa shangaz mambozMasters itakua Massachusetts,
Nikashangae shangae Dunia ya kwanza.





khaaaahNasikia siku hizi bila kuwa kada hautoboiHaya mambo ya kupigia kampaign watu alikuwa anayaweza Kapachino
Usnichi kawaida saana. Unaweza kuongoza siku za kampeni alafu siku moja kabla ianpigwa fitnaaa gaflaaa matokeo yanapinduka.
Hongera Kwa washindi
Sent using Jamii Forums mobile app