Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

img_2_1685555812722.jpg
 
kwanza wakati G ananifatilia nilikua naona km anataka kunitia shombo. Niliona hatuwezaniii

Ni mkaka m1 mpolee, mkimyaa, mtaratibuu, kifupi ni introvert, bhana bhanaaa

Siku ya kwanza kumpaa, hadi nikawa najiuliza ndo yeye huyu au nimechanganyaa,

G ameniwezaaa
Aisee!!

Wewe nimekushindwa tabia.
 
Lakini serikali ya SA nayo iwe na ufikirio kwa visketi vile ni ngumu kwa kidume rijali kuishia kula kwa macho lazima utataka kuona kama yaliyomo yamo
Visit vifupi havija Anza Leo South Africa ishakuwa Kama sehem ya utamaduni wao. Si unakumbuka hata Ile movie ya sarafina??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom