cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,298



kanielewaaa G akee, imagine kaanza kunihusudu 1St yr eti anakuja kusema mwshoniii uwiiiiiUmejuajeee cazeeeHahahahahaha hiyo fresh2 maana hapa dunian cha peke yako ni kabuli2



Njoo ulale kwangu tumisuwanePoaaah cazeee nimekumic mnooo![]()
Viavatar vizuri sema unawahi kuvitoa ...Nabaki na wee cuzoooo,![]()
Mbona malori mengi kama Mandela Road fulani hivi, unaingia Riverside nini?View attachment 2641819
Unalala pekee ako usiku ww nyoka pooo
Embu nikatafute changamsha damu mie
وييوويويويويوطوطوطوذوببوذذذوذوبوببو
We mbona umekonda sana mzima kweli.Nabaki na wee cuzoooo,![]()
Nilijua tangia wewe hujajua kufyeka msitu wa kijiji cha manogeoUmejuajeee cazeee![]()
Ntakupa zawadi ya rungu comred iwe mali yako milele yoteNabaki na wee cuzoooo,![]()
Barabara hiyo inakera sanaMbona malori mengi kama Mandela Road fulani hivi, unaingia Riverside nini?
Moja ya barabara ninazochukia hapa Dar ikifika jioni ila angalau Kijazi interchange imesaidiaBarabara hiyo inakera sana
dah , nilikuwa nasubiri hadi saa mbili usiku ndo naanza kurudi nyumbani .
Asante sana kwa neno la jana Tinsley 🙏🙏🙏Pole sana , kikubwa tusikate tamaa haijalishi maisha yanavyotupeleka ,tumtegemee Mungu na hakika tutashinda .
Rooting for you as you walk through these hard times ,
Cast all your anxiety upon him for he cares for you .
1 Peter 5:7
the one inside you is greater .
I John 4:4
Inakera sanaMoja ya barabara ninazochukia hapa Dar ikifika jioni ila angalau Kijazi interchange imesaidia
Unaichukia safari yenyeweInakera sana
imesaidia kwa Ubungo ila .
ukienda hadi Buguruni hapo ndo unaona karaha ukiwa na haraka .
Thank you toooAsante sana kwa neno la jana Tinsley 🙏🙏🙏
Imenifanya niiikumbuke
PSALM 55:22 Pile your troubles on God's shoulders—he'll carry your load, he'll help you out. He'll never let good people topple into ruin.”
Yeah kama hujajenga wala hamna la maana ni unahama tu .Unaichukia safari yenyewe