Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,232
😃😃 naomba ile buku me nikalete mishkaki nile na wali
Jr kakuta kwenye mfuko wa suruali yake 🤓...njoo msindikizane.😀😃😃 naomba ile buku me nikalete mishkaki nile na wali
Yaani hunishindi mimi aisee, kwenye ule wimbo wa darassa aliua😍😅Ms eyes huyu Dj namkubali na ile miluzi yake inayonogesha amapiano.
Ila hiyo location sasa 😏😏View attachment 2641056
Umekua single miaka mia ngapi mpaka ufike huku???
Nipo Cocah😍Karibuu dyadyaaaa, ulipoteleaa wapiii???
Hiki kinaonekana kizuri
Kwa kweli mji mgumuu huuNipo Cocah
Vyuma tu vimekaza mambo yanakuwa mengi





Hao wadada Wana nafasi Yao mbinguni.weuweeh sema kuna wadada wanayaweza mtu anajitoa kabis anamnununulia mtu PS5
Naona wanatoaga sana kwenye Send off huko .
Haya mambo ya kupigia kampaign watu alikuwa anayaweza KapachinoWajumbe sio watu wazuri
Wanakuambia "we ulisikia wapi DARUSO inaongozwa na mwanamke, nani alisema??"
Ila wajumbe siwawezii kwa kweli, kwa jinsi Alice alivyokuwa ananadiwaa nilijua mapema tyuuh anatangazwa ubingwa, uwiiiiiiiii
Wajumbee hapanaaaView attachment 2641095View attachment 2641096
Naaam hao ndio safi SASA sio kila siku zawadi za boksa na singlendiNaona wanatoaga sana kwenye Send off huko .
Bila kusahau saa 😂😂😂Naaam hao ndio safi SASA sio kila siku zawadi za boksa na singlendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ya kupigia kampaign watu alikuwa anayaweza Kapachino
Usnichi kawaida saana. Unaweza kuongoza siku za kampeni alafu siku moja kabla ianpigwa fitnaaa gaflaaa matokeo yanapinduka.
Hongera Kwa washindi
Sent using Jamii Forums mobile app



Dada wa watu hata hajaamini kwa kweli, woiiiiiiihNjema saana.Bila kusahau saa![]()
habari yako Kaka
Aamini tuu hamna namna. Ayajenge vzr na Rais mteule alambe uteuzi. Asikaze fuvu...Dada wa watu hata hajaamini kwa kweli, woiiiiiiih
Haha akanunue mwenyewe 😂😂Njema saana.
Shemeji yangu mtafutie PS mapemaaa. Utanishukuru baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei elekezi yakizalendoHaha akanunue mwenyewe
ni bei gani kwanza ???