Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakati huo nilikuwa nina mwili mdogo dogo, kwahiyo madogo wakawa wanahisi kama wanaweza kunimudu vile kwahiyo ilifikia hatua wananiandikia na barua kwenye madaftari yao

Ukishindwa kujidhibiti, unaweza kuharibu kesho yako kwa utamu wa dakika chache 😅
Kwa hiyo mzee baba haukuwahi kula zile totoz kabisa? 🤔 Na zinajilengesha zenyewe
 
Jomoneeee nipooo dear vipi wee??

Niligombana na G Mda, ndo nimetoka kuongea nae sasa hivi kaniomba msamaha na kunibembelezaa, nlitamani asikate cm aendelee kunibembelezaa

Nipo kipenzi , mambo yanaenda

hahahha pole kugombana kawaida kwenye penzi mnazidi kupendana aisee .

nenda ukadeke kwake sasa , huba limetaradi ..
 
ntaenda kesho mchanaa dear.
Mie na G hatuachaniiii
Aiseee pendaneni hivyo
love is a beautiful thing , sijui alikuwa wapi sikuzote kaja kusema mwaka wa mwisho .

sijawahi kuwa na mahusiano shuleni/chuo but nahisi raha kuwa na mtu ukiingia darasani unqmuona baby yule unasmile huyo unaenda kuketi .
 
Back
Top Bottom