Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uvivu ni adui mkubwa, wa ujenzi wa taifa kwani ndio kiini hasa, kisababishacho njaa

Ewe ndugu yangu wee,
amka kumekucha, kamata jembe na panga twende shambaa

Ata wewe mwanangu, amka kumekucha, kwani hizi ndio za kwenda shule

 
Ms eyes huyu Dj namkubali na ile miluzi yake inayonogesha amapiano.
Ila hiyo location sasa 😏😏
IMG_6734.png
 
Screenshot_20230531_091715_Music Player.jpg
Vita sitaki miye, sumu usinitilie, kiti usinikalie utanitoa roho.

Babe sepa usinirudie, ukipenda njoo turudie , Bila pesa nitunukie🎶

Nikubalie kuwa namimi usiwe na mwingine,

Nikubalie nami niwe nawewe nisiwe na mwingine 🎶
=====================

Kuna baadhi ya nyimbo zinatukumbusha miaka ile ya Tabora Jazz, UDA Jazz, Sikinde and likes miaka ile ya 72🤪

Hata nikikaa na Wajukuu zangu naweza kusikiliza pasipo kusikia hata tusi moja limeimbwa 🤗

Nikubalie Song by Kassim Mganga

Hello Wednesday 🥂
 
Back
Top Bottom