Huyo mtoto na mwenzake Mwachiluwi wazisake sana tu.
Huyo mtoto na mwenzake Mwachiluwi wazisake sana tu.
Nina minyoooo 😂😂😂😂nasubili dawa za bure za serikali bado hazijapita mtaani kwetusawa ila wewe unaonja hauli 😂
Ukapike bagia huko😂Natafuta passport niende zangu uhindini mie, niwaachie nchi yenu
Kwahiyo unataka kusemaje?Wanaleta maneno mengi wakati hata wao wanajua bila pesa hawajapendeza.
Watambue hela wanayonunua snickers wakapendeza nazo mwama mzima mtaani, inatosha kukupaka rangi ya kucha pekee, tena inakaa wiki 1 tu Depal mshamba_hachekwi na Mwachiluwi
It can be guaranteed if you know how to...... 😅wealth is not guaranteed.... si unakumbuka 😂
Usihesabie hela mfukoni kama mshamba_hachekwi, si unaona Depal analalamika😅Kwahiyo unataka kusemaje?
bamia,nyanya chungu aisee hivi vitu ni kazi sana kwangu kula hasa bamia.Depal sisi tunashinda humu....View attachment 2638123
🤣🤣🤣 Antonnia akikusikia?🤭Bora niwe singo kuliko kudate na pisi ya YANGA kwanza wana U.T.I![]()
Na kachori🤣🤣Ukapike bagia huko😂
Tafuta hela weweKwanini nipande ndege wakat mabasi yapo unaangalia na madhari ya tz kitonga nitaionaje?
Ahahah uyo mshamba_hachekwi huyo bahiri by nature huwezi kumuelimishaUsihesabie hela mfukoni kama mshamba_hachekwi, si unaona Depal analalamika😅
Njoo unipe mrejesho wa jana kwaza 😂😂Tafuta hela wewe
Shoo shoo 😊Njoo unipe mrejesho wa jana kwaza 😂😂
Hakika nitakuwa mtiifu sana wa kupokea zawadi za bagia toka kwako 😅 weka piilpili mingiiiiNa kachori🤣🤣
Nitakua nakutumia kwenye meli uonje mapishi yangu ya kikanjibai
Siamin kabisa umezingua sikupi mchongo tena 😂😂Shoo shoo 😊
Ahahah uyo mshamba_hachekwi huyo bahiri by nature huwezi kumuelimisha
Mwalimu wake kipofu sasa utamshauri nini?Kumbe, basi acha aendelee kula kwa macho na kuita shemela🤣
Oya nimekiamsha mzee baba yeye mwenyewe anayaweza 😀😀Siamin kabisa umezingua sikupi mchongo tena 😂😂
Mwalimu wake kipofu sasa utamshauri nini?
Msimkimbie tu watu wajf kwa kuwajaza madog af mnakombia mitiniPole yake, @mshamba_hachek uki graduate njoo upate japo kazi ya box mdogo wangu, sharing is caring 👍