Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Nitafutie wateja huko kwenu niwe nawatumia.🙂Kitumbua?![]()
Nitafutie wateja huko kwenu niwe nawatumia.🙂Kitumbua?![]()
Mbona unamsingizia sijamsikia
Hauheshimu wakubwa??😳😳Hapana nakataa kabisa
Nitafutie wateja huko kwenu niwe nawatumia.![]()
Wewe kaka angu nitakusemea kwa shemeji unamchetHuyu ndio mrembo mwenyewe naemzungumzia
Naheshimu sana ila ngoja nikae kimya sasaHauheshimu wakubwa??😳😳
Hao wote wanafanya biashara ya vitumbua???
Weee afro Na chogo langu hiliiii 😂😂😂😊😊!Nakushauri unyoee Afro tyuuh.![]()
Wewe kaka angu nitakusemea kwa shemeji unamchet

nataka kujua hicho kitumbua ni cha nani?
Weka order basi!!! Ila malipo ni upfront, vikichelewa kufika nisipate hasara.Mimi ndio mteja mwenyewe
Haruhusiwi kutaniana na majirani mara moja moja??😳😳Wewe kaka angu nitakusemea kwa shemeji unamchet
Ajue mimi ndio mdhamini mwenyewe 😎Lizzy anajua yote halafu hana shida![]()
Ajue mimi ndio mdhamini mwenyewe![]()
Mbona kiduchu hivyo.... Kitafaa kweli kwa matumizi??😂
Ewaaa
Nikisubirie na sahani ya![]()
???🫢




