Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Haruhusiwi kutaniana na majirani mara moja moja??😳😳Wewe kaka angu nitakusemea kwa shemeji unamchet
Haruhusiwi kutaniana na majirani mara moja moja??😳😳Wewe kaka angu nitakusemea kwa shemeji unamchet
Ajue mimi ndio mdhamini mwenyewe 😎Lizzy anajua yote halafu hana shida[emoji28]
Ajue mimi ndio mdhamini mwenyewe [emoji41]
Mbona kiduchu hivyo.... Kitafaa kweli kwa matumizi??😂
Ewaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
Nikisubirie na sahani ya [emoji1649] [emoji1649]???🫢
Umepata!!!☺️☺️Ewaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ugali kama uliopika leo
Na zile mboga unawekaga nazi mwee
Hivi makazi mapya ni wapi siku nije niwatembelee[emoji38]
Mara nahamia hapohapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aushibi?Mbona kiduchu hivyo.... Kitafaa kweli kwa matumizi??😂
Hahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamototengeneza mwenyewe nyumbani .
napenda kisamvu nilikuwa nanunua karanga halafu natwanga kwa kinu .
karanga ni bei ukitaka nzuri ununue zq bei . kukwangua maganda yote ni kazi kweli .
na usage baada ya hpo .
vikopo navyo vimepanda bei bado sticker .ni kufanya biashara kwa mazoea tu
Ndio nalog in hapaDepal Umekula???View attachment 2635409
Wana hoja gani? Wanafananisha na kande za shule ambazo zilikuwa haziungwi🤣😆😆😆😆
Hata mimi huniambii chochote kuhusu makande, makukuru(ni kama makande ila mahindi hayakobolewi) na ngararimu (mahindi bila 🫘) ya kule kwetu milimani!🤓🤓
Sema waliokula sana maharage & makande shule wasikilizwe, wanaweza kuwa na hoja ya msingi!😁
hapo huwezi aisee , mambo ya kike sanaHahaha sasa sisi wanaume kutwanga kwa kinu ni changamoto
Na ukisema upandishe bei kufidia hizo gharama wateja watakimbia bei changamoto sana
Karibu Depal kuuliza 😊😀Njoo nikuulize 😂😂😂 Mzee wa kupambania
Hapo sawahapo huwezi aisee , mambo ya kike sana
ni kwendelea tu kununua hivyo
hivyo .
Nije na mie kukutembelea basiSiku ujepo utembeapo
unarefresh kweli , Gomz umefika kweli .
Uoe Mzee au bado bado kwanzaHapo sawa
Eti tutashiba mboga!😆😆😆Ndio nalog in hapa
Hata bado sijala 😋
Ugali mdogo, ila tutashibia mboga