Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Nitakupeleka my ex baby
Huko sijawahi pita,Unaweza ingilia mataa ya kunduchi
au ukaja hadi Boko chama ukashuka na barabara hiyo hadi baharini .
napapenda aisee
dynasty resort pametulia

Si ungekuwa ushanipeleka siku zote hizi nilizokaa mjiniNitakupeleka my ex baby
KwendaaNext month ukiwepo mjini nitakupeleka

Siku ujepo utembeapo
Lakini haukutia hasara sio? 🤣bora ufanye hivyo aisee
mie siwezi kupika bila kuonja aisee ..
kuna muda nilikiwa natengeneza peanut za kuuza aha nilikuwa natafunq karanga
Ah sikutia hasaraLakini haukutia hasara sio? 🤣
Unakuja na jezi zetu??🙂Hapo sawa tukiongea utaelewa tu!..worry out![]()
Mtoto yuko wapi??🤣🤣🤣Sasa unaona namwambia mtoto nataka kwenda kwake unashindwa kuelewa nini?![]()
Unakuja na jezi zetu??![]()
Ukikaribia Ununio usimame unipungie ndo uendelee na safari.Hivi ununio ndio ipo wapi?
Lenie akikudaka unarukaruka.... 😂Mtoto ni mwanamke mrembo kama wewe!![]()
safi kabisa za masiku mengi ya kupotea??nzuri vipi wewe
Watu wa Mbeya na kupunga mikono tunaenda sambamba😂Ukikaribia Ununio usimame unipungie ndo uendelee na safari.