Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata mimi ninavyovinunua huwa havijai wafanyabiashara wanatupiga sana 🤔
tengeneza mwenyewe nyumbani .

napenda kisamvu nilikuwa nanunua karanga halafu natwanga kwa kinu .

karanga ni bei ukitaka nzuri ununue zq bei . kukwangua maganda yote ni kazi kweli .
na usage baada ya hpo .

vikopo navyo vimepanda bei bado sticker .ni kufanya biashara kwa mazoea tu
 
Back
Top Bottom