Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Maneno yatakua mengi, hiyo pole utamwambia mwenyewe!🥴Halafu nilisahau mpe pole jana tumempiga 4-1, jezi muhimu naiuja nazo!
Maneno yatakua mengi, hiyo pole utamwambia mwenyewe!🥴Halafu nilisahau mpe pole jana tumempiga 4-1, jezi muhimu naiuja nazo!
wacha ninyamaze 😂Mimi?![]()
Maneno yatakua mengi, hiyo pole utamwambia mwenyewe!![]()
Hata mimi ninavyovinunua huwa havijai wafanyabiashara wanatupiga sana 🤔Ah sikutia hasara
si unajua vikopo vyenyewe hivi na wafanyabiashara lazima uwe mchumi , kikopo hakijai 😂😂
Mrembo katoka kaniachia simu yake!😐Mtoto ni mwanamke mrembo kama wewe!![]()
tengeneza mwenyewe nyumbani .Hata mimi ninavyovinunua huwa havijai wafanyabiashara wanatupiga sana 🤔
Nan kasem?Hakuna ghafla kwenye hizi ishu!
😆😆😆Watu wa Mbeya na kupunga mikono tunaenda sambamba😂
Nakuja hadi ulipokaa
Mood itakata ghafla!!!😁Jana tumpewapiga kipigo kibaya sana, lazima nimpe pole kabla ya yote!
Kaka yako kasema!!😁Nan kasem?
Nan kasem?
Nae katoka ndio kaniachia mimi!🤓Tatizo namjua lieachiwa simu![]()
Nae katoka ndio kaniachia mimi!![]()
Embu jaribu tuone 😀Nitalogin jf
Hapana nakataa kabisaKaka yako kasema!!😁
Mbona unamsingizia sijamsikiaLizzy[mention]Dr Lizzy [/mention]