Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

👏🏾👏🏾

Sasa umetaja makande ya kazi gani?????😟😟 Utanifanya nijishughulishe nayo wakati muda sina!😵

Kisamvu cha karanga je hupendi??? Mie vyote ulivyotaja + mchicha na mnavu uliochanganywa na nyama, bila kusahau majani ya maboga!!!! Ugali unakua unashuka vizuri sana!🤤🤤
Me namshangaa mtu asiyekula makande.

Kuna rafiki yangu hali kabisa. Kisa eti aliyala sana shule. Namwambia pesa kidogo tu unaanza kukandia chakula ya kitanzania 😂

Tena huku nakula mpk ya mahindi mabichi 😂😂😂
 
It's friday
424572449.jpg
 
Mbona mapema sana 😀
Au we mwenyewe ndio Boss 🥰
Huo muda nilikuwa kwa blanket 🛌
Yan huku hatupoi, tumemaliza mvua tunaingia baridi.
Kaboss ka mchongo mchongo!☺️🤩

Nimeshtuka nikaona badala ya kurudi ku 💤 bora nianze siku yangu mapema, nipunguze task zangu & 📧 alafu ntanap nikizidiwa.

Usingizi wa baridi na mvua ni mtamu sana!!!🤗 Kama hamna haja ya kuamka mapema then hamna haja ya kuamka mapema!😁 Alafu kwani hamuwezi kutupunguzia hiyo baridi yenu kidogo na sie tupumue??🙄
 
Me namshangaa mtu asiyekula makande.

Kuna rafiki yangu hali kabisa. Kisa eti aliyala sana shule. Namwambia pesa kidogo tu unaanza kukandia chakula ya kitanzania 😂

Tena huku nakula mpk ya mahindi mabichi 😂😂😂
😆😆😆😆

Hata mimi huniambii chochote kuhusu makande, makukuru(ni kama makande ila mahindi hayakobolewi) na ngararimu (mahindi bila 🫘) ya kule kwetu milimani!🤓🤓

Sema waliokula sana maharage & makande shule wasikilizwe, wanaweza kuwa na hoja ya msingi!😁
 
Bantu Lady Aaliyah cocastic Naombeni msuko mmoja uwe mkareeee yani matraaatraaaaa sanaaa .. utaonipendezaa kwenye li komwe languu hiliiii😊😊!!
Sio knotlesss . sio mabutu sio njia mbili sio yebo.. Mwingine kabesaaaa
Hapo sasa mrembo. Usijali nitakutumia Whatsapp, uchague upi utaupenda. Ungekuwa hapa nilipo, ungetengeneza nilionao mimi sasa.
 
👏🏾👏🏾

Sasa umetaja makande ya kazi gani?????😟😟 Utanifanya nijishughulishe nayo wakati muda sina!😵

Kisamvu cha karanga je hupendi??? Mie vyote ulivyotaja + mchicha na mnavu uliochanganywa na nyama, bila kusahau majani ya maboga!!!! Ugali unakua unashuka vizuri sana!🤤🤤
Uko vizuri kwa mapishi

Karanga ni nzuri sana pia ikitumika kwenye mapishi. Tatizo langu nikinunua karanga zile zilizosagwa na kuwa packaging huwa naanza kushawishika kuzila zenyewe au kupaka kwenye mkate. Hazitoboi kukaa muda mrefu
 
Back
Top Bottom