Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Looking sharp!!!!👊🏾It's fridayView attachment 2635103
Looking sharp!!!!👊🏾It's fridayView attachment 2635103
Hapo sasa mrembo. Usijali nitakutumia Whatsapp, uchague upi utaupenda. Ungekuwa hapa nilipo, ungetengeneza nilionao mimi sasa.Bantu Lady Aaliyah cocastic Naombeni msuko mmoja uwe mkareeee yani matraaatraaaaa sanaaa .. utaonipendezaa kwenye li komwe languu hiliiii😊😊!!
Sio knotlesss . sio mabutu sio njia mbili sio yebo.. Mwingine kabesaaaa
Sawa nitumie kule kipenzi wabheja sana!!Hapo sasa mrembo. Usijali nitakutumia Whatsapp, uchague upi utaupenda. Ungekuwa hapa nilipo, ungetengeneza nilionao mimi sasa.
Uko vizuri kwa mapishi👏🏾👏🏾
Sasa umetaja makande ya kazi gani?????😟😟 Utanifanya nijishughulishe nayo wakati muda sina!😵
Kisamvu cha karanga je hupendi??? Mie vyote ulivyotaja + mchicha na mnavu uliochanganywa na nyama, bila kusahau majani ya maboga!!!! Ugali unakua unashuka vizuri sana!🤤🤤
Unanua mbili moja ya kuonja na nyingine kupikiaUko vizuri kwa mapishi
Karanga ni nzuri sana pia ikitumika kwenye mapishi. Tatizo langu nikinunua karanga zile zilizosagwa na kuwa packaging huwa naanza kushawishika kuzila zenyewe au kupaka kwenye mkate. Hazitoboi kukaa muda mrefu
Nakushauri unyoee Afro tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bantu Lady Aaliyah cocastic Naombeni msuko mmoja uwe mkareeee yani matraaatraaaaa sanaaa .. utaonipendezaa kwenye li komwe languu hiliiii[emoji4][emoji4]!!
Sio knotlesss . sio mabutu sio njia mbili sio yebo.. Mwingine kabesaaaa
Nakuja tutazamee wotee.
Rhabhekhaaaaa!!!
Siku tukaogelee basi
Kuogelea?Siku tukaogelee basi
beach safi safi hivi .
usiogope maji dear ,Kuogelea?
Hapana,
Kwanza sijawahi[emoji23]
Uwe tayari kusaidia na kazi lakini!😁Nakuja tutazamee wotee.
Tena uniajiri niwe house maid wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe tayari kusaidia na kazi lakini![emoji16]
😆😆😆Tena uniajiri niwe house maid wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kweli.... vijana tuchape kaziSiku nyingine njaa bado iko palepale ukiweka uvivu mbele unakufa njaa
Endelea kukesha jf utapewa kazikweli.... vijana tuchape kazi