National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
Dah mbali 🤣🤣🤣🤣Kuna kitu basi huku ..
karibu huku kwa wazaramo wenyewe .
njoo hadi Bunju kabisa ni kati kati hapo .
Dah mbali 🤣🤣🤣🤣Kuna kitu basi huku ..
karibu huku kwa wazaramo wenyewe .
njoo hadi Bunju kabisa ni kati kati hapo .
Mkuu sorry, napataje hizi pics, my kids nimewaonyesha wamezipenda sana. Nipe chimbo.
Sio sanaDah mbali 🤣🤣🤣🤣
Una kitanda cha mgeni 😅😅Sio sana
foleni ishakwisha mida hii
Mahangaiko 🤣🤣
nikitoe wapi 😂😂Una kitanda cha mgeni 😅😅
Atleast kahela katabaki baki, kesho tutakula kuku choma
Bila sorry mkuu. nitashare account zakeMkuu sorry, napataje hizi pics, my kids nimewaonyesha wamezipenda sana. Nipe chimbo.
Thanks bro, wamevutiwa sana nazoBila sorry mkuu. nitashare account zakeView attachment 2635850
Nthuri sanaThanks bro, wamevutiwa sana nazo
nikitoe wapi 😂😂
mgeni nitampeleka lodge moja hapo juu .
raha ya mgeni alale home 😊😊nikitoe wapi 😂😂
mgeni nitampeleka lodge moja hapo juu .
😅😅😅 bora umemueleza aisee, maana hata huku Lodge zipo hadi za alfu tatuTinsley Lodge ya nini tena, kwani umesiki yeye hana uwezo wa lodge? 😂
Sema sina kitanda cha mgeni ila kilochopo ni kikubwa kinatutosha National Anthem
huko lodge analipia mwenyewe , natoa wapi 40k usiku huu mie .Tinsley Lodge ya nini tena, kwani umesiki yeye hana uwezo wa lodge? 😂
Sema sina kitanda cha mgeni ila kilichopo ni kikubwa kinatutosha National Anthem
Anyoshe maelezo, Tinsley karibisha wageni acha kupigwa na baridi peke yako.😅😅😅 bora umemueleza aisee, maana hata huku Lodge zipo hadi za alfu tatu
sina home kwa sasa ile ni ghetto 😂😂😂 .raha ya mgeni alale home 😊😊
Unalalamika kwa 1000?😂 Ungempa 10000 kabisa, na keep change.Leo kimenipata Tinsley nimerequest ride. Recommended fare 5500. Nikaweka 6000.
Davoo kaja ananambia nimpe 7000😂😂
Namuuliza kwanini aliaccept fare niliyoweka?
Anaanza kuniita shoga ake😂😂
Sijamkazia sbb ni mdada
Unazani flight mode waliweka kama pambo? Tinsley National Anthemsina home kwa sasa ile ni ghetto 😂😂😂 .
wifi yetu atakupigia simu nyingi , usimpe mawazo .
Nitazima simu alafu yeye mzungu hana hisia mbaya mbayaaa 🤣🤣🤣 maana hakunikuta single nae alimyanganya mtusina home kwa sasa ile ni ghetto 😂😂😂 .
wifi yetu atakupigia simu nyingi , usimpe mawazo .