Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

I dont do jokes
just get it straight
i was puzzled to read that from you !!,

ndo maana sizunguki thread nyingine nabaki hapa selfika , nataka clear air .
You are making mountain out of hills. It was no joke no did I mean it in any bad way. Never fought or annoyed you since I have known you. Anyway sawa tumalize na umeeleweka. .
 
You are making mountain out of hills. It was no joke no did I mean it in any bad way. Never fought or annoyed you since I have known you. Anyway sawa tumalize na umeeleweka. .
Duh this is funny
eti no joke pia , you did not mean it
and still you wrote it ???
 
Asante kwa mama alikuwa karibu kukuokoa la sivyo leo tusingemjua Tinsley

Jamani ulikuwa katundu nini utotoni? ilikuwaje hiyo freezer 🤭
Yeah Amen to that

ya freezer ilikuwa usiku nasikia kiu naambia ndugu zangu nataka maji ya baridi wao wako nje wanapiga stori .

nikiingia ndani kwa freezer , ile nachukua maji kwa freezer nadumbukia hadi ndani .
 
Eti ananiambia alinunua kiwanja makaburini alipojenga hiyo nyumba!😅
dah aisee huyu ni muongo sana.
Ila ana roho nzuri sana hata wakati mke wangu amejifungua amenipigia sana simu kumjulia hali. Mbali na number zangu kuw humu wengi ushikaji wao unaishia humu. .

Hata marehemu leadermoe alinitafuta kila siku kunijulia hali ya mama na mtoto. Ni watu wema sana. .
 
Yeah Amen to that

ya freezer ilikuwa usiku nasikia kiu naambia ndugu zangu nataka maji ya baridi wao wako nje wanapiga stori .

nikiingia ndani kwa freezer , ile nachukua maji kwa freezer nadumbukia hadi ndani .
Polee 🙊 ulikuwa na umri wa miaka mingapi? Nani walikuja kukuokoa?
 
Back
Top Bottom