Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siwezi nunua eneo upande huo sio wa kibiashara kabisa. Ila watu wa kusini wananunua sana mkuranga huko na chanika😀
Kule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine 😄
 
Kule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine 😄
😀 kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyew
Nimebahatika kujenga sehemu zenye uswahili kiasi kama manzese darajani ila labda kwa sababu imepakana na sinza😀 mbona kodi ziko bomba sana...
kwenye nyumba za biashara unaangalia kodi ikoje na eneo husika ila nyumba ziko fenced. .
 
mdogo sana aisee around 7.
my sisters 😍😍😍
mmoja akaona mbona hanioni wakaanza kunitafuta , usiku huo halafu T haonekani mama alikuwa anakaribia kurudi ndo kufungua nipo kwa freezer .
ni Mungu tu .
Umepitia misukosuko sana. Mungu na apewe sifa zake ni kwa neema aliwatumia watu wa familia kukusaidia.
 
😀 kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyew
Nimebahatika kujenga sehemu zenye uswahili kiasi kama manzese darajani ila labda kwa sababu imepakana na sinza😀 mbona kodi ziko bomba sana...
kwenye nyumba za biashara unaangalia kodi ikoje na eneo husika ila nyumba ziko fenced. .
Vipi nyumba yako ya kuishi mwenyewe na familia yako?
 
Screenshot_20230525-011400.png
 
Back
Top Bottom