Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

You are making mountain out of hills. It was no joke no did I mean it in any bad way. Never fought or annoyed you since I have known you. Anyway sawa tumalize na umeeleweka. .
Duh this is funny
eti no joke pia , you did not mean it
and still you wrote it ???
 
Asante kwa mama alikuwa karibu kukuokoa la sivyo leo tusingemjua Tinsley

Jamani ulikuwa katundu nini utotoni? ilikuwaje hiyo freezer 🤭
Yeah Amen to that

ya freezer ilikuwa usiku nasikia kiu naambia ndugu zangu nataka maji ya baridi wao wako nje wanapiga stori .

nikiingia ndani kwa freezer , ile nachukua maji kwa freezer nadumbukia hadi ndani .
 
Eti ananiambia alinunua kiwanja makaburini alipojenga hiyo nyumba!😅
dah aisee huyu ni muongo sana.
Ila ana roho nzuri sana hata wakati mke wangu amejifungua amenipigia sana simu kumjulia hali. Mbali na number zangu kuw humu wengi ushikaji wao unaishia humu. .

Hata marehemu leadermoe alinitafuta kila siku kunijulia hali ya mama na mtoto. Ni watu wema sana. .
 
Yeah Amen to that

ya freezer ilikuwa usiku nasikia kiu naambia ndugu zangu nataka maji ya baridi wao wako nje wanapiga stori .

nikiingia ndani kwa freezer , ile nachukua maji kwa freezer nadumbukia hadi ndani .
Polee 🙊 ulikuwa na umri wa miaka mingapi? Nani walikuja kukuokoa?
 
Siwezi nunua eneo upande huo sio wa kibiashara kabisa. Ila watu wa kusini wananunua sana mkuranga huko na chanika😀
Kule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine 😄
 
Kule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine 😄
😀 kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyew
Nimebahatika kujenga sehemu zenye uswahili kiasi kama manzese darajani ila labda kwa sababu imepakana na sinza😀 mbona kodi ziko bomba sana...
kwenye nyumba za biashara unaangalia kodi ikoje na eneo husika ila nyumba ziko fenced. .
 
mdogo sana aisee around 7.
my sisters 😍😍😍
mmoja akaona mbona hanioni wakaanza kunitafuta , usiku huo halafu T haonekani mama alikuwa anakaribia kurudi ndo kufungua nipo kwa freezer .
ni Mungu tu .
Umepitia misukosuko sana. Mungu na apewe sifa zake ni kwa neema aliwatumia watu wa familia kukusaidia.
 
😀 kwa uzoefu wangu uswahili uutake mwenyew
Nimebahatika kujenga sehemu zenye uswahili kiasi kama manzese darajani ila labda kwa sababu imepakana na sinza😀 mbona kodi ziko bomba sana...
kwenye nyumba za biashara unaangalia kodi ikoje na eneo husika ila nyumba ziko fenced. .
Vipi nyumba yako ya kuishi mwenyewe na familia yako?
 
Back
Top Bottom