Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,901
Kule pana uswahili sana sio pa kununua kiwanja ujenge. Kama ulizoea maeneo yaliyostaarabika nakwambia nyumba utaiuza uhame ukajenge kwingine 😄Siwezi nunua eneo upande huo sio wa kibiashara kabisa. Ila watu wa kusini wananunua sana mkuranga huko na chanika😀