mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,938
nimeona tu headlines sijafuatilia.... kuna watu walifariki??Pole sana Kiongozi
umesikia lifti ya leo iliyoanguka nilivyoona habari nikakumbuka .
so sad
nimeona tu headlines sijafuatilia.... kuna watu walifariki??Pole sana Kiongozi
umesikia lifti ya leo iliyoanguka nilivyoona habari nikakumbuka .
so sad
Injuries tu , Mungu ni mwemanimeona tu headlines sijafuatilia.... kuna watu walifariki??
✅😂😂karibu na nane nane njiro sijakaa sana ujue 😂
kuna jamaa nimeskia amejirusha akiwa juu ya jengo ndo amenishangaza zaidiInjuries tu , Mungu ni mwema
hiyo lifti nilipanda last month , kuna floor nyingi inapanda hadi juu . na ilikuwa inachelewa

Hiyo ni jana hapo hapo Makumbusho sema ni derm plaza .kuna jamaa nimeskia amejirusha akiwa juu ya jengo ndo amenishangaza zaidi
mental health is real.....Hiyo ni jana hapo hapo Makumbusho sema ni derm plaza .
so true dahmental health is real.....
Tumetekwa ase





kweli umepita mapito..... how did you bounce back??so true dah
serikali ianagalie juu ya hili
nishawahi kutamani kufanya suicide aisee its really bad .
wamefeli nilikua sijamalizia aisee[mention]Peterrabbit [/mention] uzi wameufuta dahh![]()
😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂 kitambi kwani kinawasha? Kwanini ukiogope
ni Mungu tukweli umepita mapito..... how did you bounce back??
hii hua naiskia sana kwa watu ila sijawahi kuiamini mpaka saivi unavoniambia....kujinenea mema
wengine hata sio mental issues ni spirit zinatumwa kuwapa hayohii hua naiskia sana kwa watu ila sijawahi kuiamini mpaka saivi unavoniambia....
afu nahisi haya mambo ya mental health yanasumbua zaidi vijana....wengine hata sio mental issues ni spirit zinatumwa kuwapa hayo
mawazo machafu . we should pray at all times
ilibidi nibadilike toka kuwa character yangu ya upole ulitukuka hadi sasa nilivyo .. nisiruhusu mtu yoyote kunibully in any form .

Yeah kweli , suicidal rates kubwa ni youth eeh , hawa ndo victims wa kubwa .afu nahisi haya mambo ya mental health yanasumbua zaidi vijana....