Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,152
- 43,109
Na nani? Wapi? kwenye ishu ipi ?🤣🤣🤣Bado hujajibu swali...mliishia wapi???🙄
Na nani? Wapi? kwenye ishu ipi ?🤣🤣🤣Bado hujajibu swali...mliishia wapi???🙄
Dokta nipe hata kazi ya kukusugua gaga 😂😂😂#sunkissed
View attachment 2632386
Nanii, kule nanii, kwenye ishu ile!😁Na nani? Wapi? kwenye ishu ipi ?🤣🤣🤣
😂Dokta nipe hata kazi ya kukusugua gaga 😂😂😂
aweke cv anaweza kukushawishi labda 😉😉😂
Kazi za watu hizo huwezi!!!
Kwani Mimi sio mtu? Halafu ni Mwana JF mwenzako tena ni Lijendari mwenzangu😂
Kazi za watu hizo huwezi!!!
Ewaaa😂😂😂Wachaaaa wee
Kutoa gundu na nuksi?? Ko hapo uko mweupee peee!!!!
Una mwandiko mzur kama ulivyo mtundu kitandaniHivi Msukuma umepotelea wapiii kwaniii??? Nimemiss vituko vyako humuuu!!
Ankoli akee Nyumbu pole sana kwa bannnnn ankooo hilo nalo litapitaa tyuuu
Mamaa Mshepuuu wahajaaaa dear hivi mguu uliponaga??? Miss you sana mamalaooo
The jiniazzz shougaaangu a.k.a jembe la majembeeeee njoo unisaidie kumark najua mambo yako hayaaa ni shwaaaaa dakika sifuri pepa zishaishaaaaa!
Mnywani akee nimekumiss hadi naumwaa mimii bila shaka uko vyediii
Madam akee uje kunisaidia kurekodi marks mdogo wangu sio kwa mzigo huu..hapa bado form 3 zinanisubiri doh
Muwe na asubuhi njema
wapendwaaa!!
Good morning ✌️✌️✌️!
Mfyuuu!!Una mwandiko mzur kama ulivyo mtundu kitandani
Nimemic shape lako la kuvunia chaga dogo selfika bathiMfyuuu!!
Utakufa imesimama dogoo!!😊
acha maneno mengi, shusha cv ndio ushawishi huon😅😅😅Kwani Mimi sio mtu? Halafu ni Mwana JF mwenzako tena ni Lijendari mwenzangu
Nimetingwa kusahisha hapaa njoo unisaidie tumalize haraka kwanzaa tukimaliza ndo nakubless 😁😁Nimemic shape lako la kuvunia chaga dogo selfika bathi
Nimetingwa kusahisha hapaa njoo unisaidie tumalize haraka kwanzaa tukimaliza ndo nakubless![]()
Twende tukaogeleeNomaa nusu na robo![]()
acha maneno mengi, shusha cv ndio ushawishi huon😅😅😅
Twende tukaogelee
😂😂😂😂😁Hongera mm hata sijaanza 😀😀
Najua ipoo hapo, ila niliuliza km had PCB, PCM washamaliza na kuondokaaa.
Saivi kombi zote washamalizaaNajua ipoo hapo, ila niliuliza km had PCB, PCM washamaliza na kuondokaaa.
Yani wa sikuhizi hawaenjoy utoto wao kama tulivoenjoy sisiWaache kukaa sebuleni kutazama series, mda wa kuimba huo wanatoa wapi?
Hata kijijini hawako na hayo mambo kabisa.