Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Apulize perfume za kutosha
Majini ya hela lazima yapite kuwasalimia hapo feri
ila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.

majini ya hela yako ferry kwan?
 
ila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.

majini ya hela yako ferry kwan?
Ko mkajizungusha segerea
Mtafika Akhera mkiwa hoi 🤣

Sasa Feri zi na mnazama baharini pale kupiga stori mbili tatu na majini
 
Screenshot_20230524-170910.png
 
Back
Top Bottom