Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Umependeza kuliko x wangu
Jaman natamani ningekuwa huo ukuta![]()





Wewe ni chizi ujue

Hebu rudisha jina lako na avatar,,Yanga atakuvua nguo na hilo jina
Umependeza kuliko x wangu
Jaman natamani ningekuwa huo ukuta![]()






Ratiba yetu ya dinner ipo palepaleeMiss Liverpool. Ulionana na Captain

Apulize perfume za kutosha
Majini ya hela lazima yapite kuwasalimia hapo feri![]()





ila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.



majini ya hela yako ferry kwan?Na pale pana foleni, afu pia mbezi huku kuanzia round about ya msigani, napo pana jam.Hainaga foleni
Foleni ipo tu pale segerea stand .
Gari ikishatoka tu basi.
Pande hizo mpaka tumoro nipo Town mpaka mida ya usiku 🌃 mwingiTukutane Mwenge!🙂
Ko mkajizungusha segereaila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.
majini ya hela yako ferry kwan?
Mbezi kueleeka stand panakuwa na foleni sana.Na pale pana foleni, afu pia mbezi huku kuanzia round about ya msigani, napo pana jam.
Ko mkajizungusha segerea
Mtafika Akhera mkiwa hoi
Sasa Feri zi na mnazama baharini pale kupiga stori mbili tatu na majini






sijafika ferry mda, nifanye j2 nitembelee huko.Haswaa yaan.Mbezi kueleeka stand panakuwa na foleni sana.
Watu wanapakilia njiani.
Machinga wamejaza vibanda barabarani yaani ni keroHaswaa yaan.
walekooo msalaaamuuu shangazi kipenzi 😊😊Nipo hapaaa mjomba anguu samalekooo!!😊!
Amina kubwaaa mjombaaa mie pia nafurahi kukuona ukiwa vyediuu sana mjomba anguu!!walekooo msalaaamuuu shangazi kipenzi 😊😊
rohooo yafurahii kukuona bukheri wa afyaaa 😊