Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230524_134212.jpg
 
Umependeza kuliko x wangu
Jaman natamani ningekuwa huo ukuta [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni chizi ujue [emoji23]
Hebu rudisha jina lako na avatar,,Yanga atakuvua nguo na hilo jina
 
Apulize perfume za kutosha
Majini ya hela lazima yapite kuwasalimia hapo feri[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majini ya hela yako ferry kwan?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mie ntakufa niko hoi, janaa nimetulia na pafyumu bwoiii wee tumeagana tyuuh, nkachukuana na Genius panda zetu bajaj hao segereaa, tumezururaa wee huko tukarudi tukapita njia ya kinyerezi kutokea mbezi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majini ya hela yako ferry kwan?
Ko mkajizungusha segerea
Mtafika Akhera mkiwa hoi 🤣

Sasa Feri zi na mnazama baharini pale kupiga stori mbili tatu na majini
 
Ko mkajizungusha segerea
Mtafika Akhera mkiwa hoi [emoji1787]

Sasa Feri zi na mnazama baharini pale kupiga stori mbili tatu na majini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijafika ferry mda, nifanye j2 nitembelee huko.
 
Back
Top Bottom