Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Kapata kwa muhindi
Kapata kwa muhindi
![]()





Watoto wa sikuhizi bado wanaimbaga hizo nyimbo kweli?
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Kapata kwa muhindi
Kapata kwa muhindi
![]()





Hongera mm hata sijaanza 😀😀Hivi Msukuma umepotelea wapiii kwaniii??? Nimemiss vituko vyako humuuu!!
Ankoli akee Nyumbu pole sana kwa bannnnn ankooo hilo nalo litapitaa tyuuu
Mamaa Mshepuuu wahajaaaa dear hivi mguu uliponaga??? Miss you sana mamalaooo
The jiniazzz shougaaangu a.k.a jembe la majembeeeee njoo unisaidie kumark najua mambo yako hayaaa ni shwaaaaa dakika sifuri pepa zishaishaaaaa!
Mnywani akee nimekumiss hadi naumwaa mimii bila shaka uko vyediii
Madam akee uje kunisaidia kurekodi marks mdogo wangu sio kwa mzigo huu..hapa bado form 3 zinanisubiri doh
Muwe na asubuhi njema
wapendwaaa!!
Good morning ✌️✌️✌️!
Hiyo playlist wimbo namba 4 umenikumbusha kitu faulani... 🤣🤣🤣🤣
Mliishia wapi???🙈🙈Hiyo playlist wimbo namba 4 umenikumbusha kitu faulani... 🤣🤣🤣🤣
Shougaaaa angu kitaa kukiwa kugumu naomba nije nyakimbilimbi kucheza na wakaka wa advance,Hivi Msukuma umepotelea wapiii kwaniii??? Nimemiss vituko vyako humuuu!!
Ankoli akee Nyumbu pole sana kwa bannnnn ankooo hilo nalo litapitaa tyuuu
Mamaa Mshepuuu wahajaaaa dear hivi mguu uliponaga??? Miss you sana mamalaooo
The jiniazzz shougaaangu a.k.a jembe la majembeeeee njoo unisaidie kumark najua mambo yako hayaaa ni shwaaaaa dakika sifuri pepa zishaishaaaaa!
Mnywani akee nimekumiss hadi naumwaa mimii bila shaka uko vyediii
Madam akee uje kunisaidia kurekodi marks mdogo wangu sio kwa mzigo huu..hapa bado form 3 zinanisubiri doh
Muwe na asubuhi njema
wapendwaaa!!
Good morning!









Waache kukaa sebuleni kutazama series, mda wa kuimba huo wanatoa wapi?
Watoto wa sikuhizi bado wanaimbaga hizo nyimbo kweli?
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Nilim dedicate mswazi fulani miaka ya 2003 dah. 🤣 🤣 🤣 🤣Mliishia wapi???🙈🙈
Sensitive People Dream More And Suffer MoreView attachment 2633126
Bado hujajibu swali...mliishia wapi???🙄Nilim dedicate mswazi fulani miaka ya 2003 dah. 🤣 🤣 🤣 🤣
Shougaaaa angu kitaa kukiwa kugumu naomba nije nyakimbilimbi kucheza na wakaka wa advance,
Niwa brush phie na cheme, si nafasi nitapataaa??
Mic u b-day wumani akeee, hivi ni lini vilee??
![]()
Mi maji hayo Coca😂Dyadyaa picha sioni hata,
Mateso hayaa
Wachaaaa weeMi maji hayo Coca
Nilienda baharini kuogelea kusafisha nyota





Nitakujaaa hapooo,Hahahaaa... hawa wa mwakahuu wana sura pasono adi sio poaaah ... wee unapenda wakaka wazuriii sio kwa kontena la form 5 tulonaooo saivi... labda tusubirie form 5 wakiripott July!! .
Kabisa shoss akee nafasi ipoo furuuuuuuu karebuuu sanaa!!
Birthday loading kipenziii ..!




Inanihusuuu hiii.Sensitive People Dream More And Suffer MoreView attachment 2633126




Sawa 😊#sunkissed
View attachment 2632386
Form 6 washamalizaa kitrambooo saivi advance kuna form 5 tyuuuu....! Hapa Science ipooo shougaaanguuu wee Karibia tyuu!Nitakujaaa hapooo,
Hao wa sura pasono, kikubwaa wajue kupelekaaa motooo tyuuh.
Kwan 4m 6 hadi wa science washamaliza pepa na wamesepaaa??
Najua ipoo hapo, ila niliuliza km had PCB, PCM washamaliza na kuondokaaa.Form 6 washamalizaa kitrambooo saivi advance kuna form 5 tyuuuu....! Hapa Science ipooo shougaaanguuu wee Karibia tyuu!