Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 709
- 2,865
Woyooooo leo nimebahatishaaaa
Woyooooo leo nimebahatishaaaa
Asante sana mkuu. Umetishaaaa🤗🤗🤗
Mweee🥺Njooni tuselfike
Pole mdogo wanguMweee🥺
Si ungesubiri nifike nyumbani
🙏🙏Asante sana mkuu. Umetishaaaa🤗🤗🤗
Makusudi🥺Pole mdogo wangu
Siwezi kukufanyia makusudi nkamuMakusudi🥺
Hiyo kima ina mvuto 😍😋
Songesha wananidai 12k tangu AprilSiwezi kukufanyia makusudi nkamu
Pakuweka napajuaa
Uselfike auntMko poa upande huu haya mselfike
Mbona sijaona mrudie auntUselfike aunt
Sisi tumeshaselfika sana
Kweli siku hizi umekua mchuga kabisaNjoo nikuhadithie Dr Lizzy kuhusu kima (nyama ya kusaga.
Ndio nimefika fika enzi hizo Kaskazini 😀
Mgeni mgeni mitaa siijui, kwanza navyoongea tu najulikana nimevamia mkoa.
Kuna sehemu Town- around CCM mkoa walikuwa wanauza chapati nzuri, basi naagiza kwa kumtuma mtu.
Sasa huyo mtu siku akaniambia jaribu kula chapati-kima, utaifurahia.
Kichwani mie si akaja kima kama kima mnyama. 😂😂
Nikamuuliza kima ndio manini hayo? Kima analiwa? Nyie watu wa huku mkoje 😀😃
Akanambia we jaribu, ikiwa mbaya nitalipia.
Deal ikawa ✅
Woi mzigo si unakuja ni kima nyama ya kusaga? Nikashtuka 😂😂 ndio kuniambia kima ni nyama iliyosagwa.
Sasa sielewi ni jina la huku tu au? Dar, Dom & Moro sijawahi lisikia
Alooo 🤣Kweli siku hizi umekua mchuga kabisa
Hadi kwenye maandishi unaandika "Woii"
Natamani nikushudie ukiongea hiyo "Woii"😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Njoo nikuhadithie Dr Lizzy kuhusu kima (nyama ya kusaga.
Ndio nimefika fika enzi hizo Kaskazini 😀
Mgeni mgeni mitaa siijui, kwanza navyoongea tu najulikana nimevamia mkoa.
Kuna sehemu Town- around CCM mkoa walikuwa wanauza chapati nzuri, basi naagiza kwa kumtuma mtu.
Sasa huyo mtu siku akaniambia jaribu kula chapati-kima, utaifurahia.
Kichwani mie si akaja kima kama kima mnyama. 😂😂
Nikamuuliza kima ndio manini hayo? Kima analiwa? Nyie watu wa huku mkoje 😀😃
Akanambia we jaribu, ikiwa mbaya nitalipia.
Deal ikawa ✅
Woi mzigo si unakuja ni kima nyama ya kusaga? Nikashtuka 😂😂 ndio kuniambia kima ni nyama iliyosagwa.
Sasa sielewi ni jina la huku tu au? Dar, Dom & Moro sijawahi lisikia
Tuma chapAlooo 🤣
Nitakutumia VN.
Jamani hadi kichwa hutaki tuone??🥴