Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Depal njoo...🍝 zako tayari
20230523_213142.jpg
 
Njoo nikuhadithie Dr Lizzy kuhusu kima (nyama ya kusaga.

Ndio nimefika fika enzi hizo Kaskazini 😀
Mgeni mgeni mitaa siijui, kwanza navyoongea tu najulikana nimevamia mkoa.

Kuna sehemu Town- around CCM mkoa walikuwa wanauza chapati nzuri, basi naagiza kwa kumtuma mtu.
Sasa huyo mtu siku akaniambia jaribu kula chapati-kima, utaifurahia.

Kichwani mie si akaja kima kama kima mnyama. 😂😂
Nikamuuliza kima ndio manini hayo? Kima analiwa? Nyie watu wa huku mkoje 😀😃
Akanambia we jaribu, ikiwa mbaya nitalipia.
Deal ikawa ✅
Woi mzigo si unakuja ni kima nyama ya kusaga? Nikashtuka 😂😂 ndio kuniambia kima ni nyama iliyosagwa.

Sasa sielewi ni jina la huku tu au? Dar, Dom & Moro sijawahi lisikia
 
Njoo nikuhadithie Dr Lizzy kuhusu kima (nyama ya kusaga.

Ndio nimefika fika enzi hizo Kaskazini 😀
Mgeni mgeni mitaa siijui, kwanza navyoongea tu najulikana nimevamia mkoa.

Kuna sehemu Town- around CCM mkoa walikuwa wanauza chapati nzuri, basi naagiza kwa kumtuma mtu.
Sasa huyo mtu siku akaniambia jaribu kula chapati-kima, utaifurahia.

Kichwani mie si akaja kima kama kima mnyama. 😂😂
Nikamuuliza kima ndio manini hayo? Kima analiwa? Nyie watu wa huku mkoje 😀😃
Akanambia we jaribu, ikiwa mbaya nitalipia.
Deal ikawa ✅
Woi mzigo si unakuja ni kima nyama ya kusaga? Nikashtuka 😂😂 ndio kuniambia kima ni nyama iliyosagwa.

Sasa sielewi ni jina la huku tu au? Dar, Dom & Moro sijawahi lisikia
Kweli siku hizi umekua mchuga kabisa
Hadi kwenye maandishi unaandika "Woii"
Natamani nikushudie ukiongea hiyo "Woii"😁
 
Njoo nikuhadithie Dr Lizzy kuhusu kima (nyama ya kusaga.

Ndio nimefika fika enzi hizo Kaskazini 😀
Mgeni mgeni mitaa siijui, kwanza navyoongea tu najulikana nimevamia mkoa.

Kuna sehemu Town- around CCM mkoa walikuwa wanauza chapati nzuri, basi naagiza kwa kumtuma mtu.
Sasa huyo mtu siku akaniambia jaribu kula chapati-kima, utaifurahia.

Kichwani mie si akaja kima kama kima mnyama. 😂😂
Nikamuuliza kima ndio manini hayo? Kima analiwa? Nyie watu wa huku mkoje 😀😃
Akanambia we jaribu, ikiwa mbaya nitalipia.
Deal ikawa ✅
Woi mzigo si unakuja ni kima nyama ya kusaga? Nikashtuka 😂😂 ndio kuniambia kima ni nyama iliyosagwa.

Sasa sielewi ni jina la huku tu au? Dar, Dom & Moro sijawahi lisikia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hata mimi ningeogopa aisee!!!!😟😟😁

Hiyo itakua ni kwa ndugu zangu wa Chugga tu maana kwa maneno tu wako vizuri!!!🤓
 
Back
Top Bottom