and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,978
Umeshalipia membership,Nipe Abc za hii familia
Umeshalipia membership,Nipe Abc za hii familia
Hapana mkuu.Umeshalipia membership,
Pasport size 3 na picha ya kitambulisho cha kura/NIDA au driving license , vyote unatuma hapa.Usijali mkuu nitaweka picha
Ndio mkuu.Hapana mkuu.
Kuna kulipia kumbe?
Sawa mkuu asante kwa kunijulisha hili.Pasport size 3 na picha ya kitambulisho cha kura/NIDA au driving license , vyote unatuma hapa.
Ni kiasi gani mkuu na kinalipwaje?Ndio mkuu.
Leta barua ya utambulisho toka kwa m/kiti.Sawa mkuu asante kwa kunijulisha hili.
Naomba kuuliza mkuu, kama sina NIDA wala leseni nifanye je?
10000 kila mweziNi kiasi gani mkuu na kinalipwaje?
🤣🤣🤣Nikilewa napiga sana kizungu🤣🤣Na kidhungu kabisa.... Asante kwa kukazia🤠!
Punguza emoji bana
Hizi habari mbona me sina😂Iko poa sana ila Depal kaachwa mshamba_hachekwi anataka
Mashangazi amalizie boom uko Lenie anamtaka Grahams babu wa singida na huy Jack Palladino nae kaachwa kakimbia kabis
Ahahaha mimi ni mfadhiri wa moyo wako ndio maanaAcha kuusemea moyo wangu
Sawa mkuu asante sana kwa taarifa hii, hakika una upendo wa agape.10000 kila mwezi
Sawa mkuu asante sana. Ngoja kesho nikaombeLeta barua ya utambulisho toka kwa m/kiti.
Ulitakiwa uwe nazo mapema sanaHizi habari mbona me sina😂
Kumbe mkuu Mwachiluwi umenidanganya na hapa?Hizi habari mbona me sina😂
Watu wenyew tupo 2578 unakuta mm wa elf 2 nisipoomba wenzangu wataomba 🤣🤣🤣🤣Mi Hadi Aitime naomba bana wee nahela zako utajua mwenyewee!! 😂😂😁😁🤠!
Nakutania mkuu.Sawa mkuu asante sana kwa taarifa hii, hakika una upendo wa agape.
Naituma wapi hii, pia naruhusiwa kuchat kwa kipindi gani kabla sijafungiwa mpaka nilipe?